Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,770
- 12,038
- Thread starter
- #41
Yes,Kingine naskia ukiwa ktk hali ya ulevi huwezi kutibiwa.
dawa ya mwanzo kabisa ya mgonjwa aliebainika kanywa pombe huwa ni dripu tu,
Sasa kwa mfano akipigwa sindano ya quinine na amekunywa pombe si atakufa chap, tunamzika na kumsahau?
ndio maana nasema ukipata ajali ukiwa umelewa unaweza ukashindwa kujiokoa na unaweza ukashindwa kujieleza matokeo yake wakakuchoma sindano au wakakupa dawa itakayokuangamiza kwasabb haisikilizani na pombe....