Matumizi ya Mlango wa Nyuma: Hebu tulijadili!

Hii milango naona kama inachanganya! Hivi kwa nini kuna milango miwili?
 
sijui hata ningeandikaje maana naona watu wamebadili na kupoteza dhima nzima ya kile nilichodhamiria kijadiliwe, wala sikuwa na mlengo wa mambo ya kikubwa ktk uzi huu. Nyie mliobadilisha dhumuni la uzi huu ninawashangaa sana na sijui lengo lenu ni nini haswa!
 
Ilishawekwa ikatolewa maana hata mimi niliwauloza iweje mtoa mada hajaonyeshe dalili ya kuongelea hayo yanayodhaniwa hapa alafu ipelekwe kule. Watu wengine naona wamepania kweli kuivuruga.


na ktk hili wameshachakachua tena kwa kiwango cha juu. halafu sijui why, maana utadhani wamelogezewa huko wanakong'ang'ania kuongelea, duuuuuuuuh!
 
Lakini wewe naye si ulikuwa unachekelea wakati ikichakachuliwa?

Afu sa hivi una bifu, lol
Urongo huo!

na ktk hili wameshachakachua tena kwa kiwango cha juu. halafu sijui why, maana utadhani wamelogezewa huko wanakong'ang'ania kuongelea, duuuuuuuuh!
 
na ktk hili wameshachakachua tena kwa kiwango cha juu. halafu sijui why, maana utadhani wamelogezewa huko wanakong'ang'ania kuongelea, duuuuuuuuh!
Nilikwambia uwaombe mod wafute comment zinazopotosha ukajifanya hujaona. Zingefutwa wasingeendelea.
 
Hii milango naona kama inachanganya! Hivi kwa nini kuna milango miwili?
Inatokana na aina ya ujenzi... Zipo nyumba zenye mlango mmoja, na ukikuta wa pili basi unaishia kwenye Balcony(veranda)
 
  • Thanks
Reactions: SMU
"African are fond of short-cuts'
aliinifundisha mwal. Mhagama, Karatu Sec. mwaka 1947.
 
kwani mlango wa nyuma ni nini.
si ina maana unaingia kwanza.
sijajua sana kwa kuwa vijumba vyetu vya uswazi vina mlango mmoja tu.
Sasa mlango wa nyuma utakuaje karibu kama unapita mbele ya nyumba (ulipo mlango wa mbele) na kuzunguka nyuma ya nyumba?
 
Sasa mlango wa nyuma utakuaje karibu kama unapita mbele ya nyumba (ulipo mlango wa mbele) na kuzunguka nyuma ya nyumba?[/Q Ndio maana ukaitwa mlango wa nyuma, manake ni kwamba unauona wa mbele lakini unazunguka nyumba unaenda nyuma. Hakuwezi kuwa jirani,sio short cut hiyo,ni mzunguko. Nakubaliana nawe.
 
Mmh! Kwa jinsi watu walivyoichachua hii thread, naogopa hata kuchangia, Lizzy umejitahidi kuelimisha lkn naona watu wanaenda wanakojua wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom