Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,299
Thread hii na michango yote imeathiriwa na ucameron. Hamna lolote la maana
ndyoko......... kwenu mnatumia mlango wa nyuma tu?? yani mnafungua mbele kufanya usafi tu??
Thread hii na michango yote imeathiriwa na ucameron. Hamna lolote la maana
ni wazi wewe ni masikini sana wa kujifunza 'human behaviour' na inaonekana mawazo yako ni ya mgando sana. na hiyo ndo shida ya wabongo, sijui sababu ya shida za maisha yaani imefika mahali kila jambo la maana watu hawalifikirii/hawalichukulii kwa namna ipasayo badla yake huliwazia kwa mtazamo wa ngono........ni janga linaloimaliza raia wa nchi hii