Matumizi ya Lugha ya Kiswahili: Hatimaye Mwakyembe ala matapishi yake

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,653
218,143
Miaka ya nyuma kidogo wakati wa Kugombea ubunge wa Africa Mashariki ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mh Mwakyembe alitoa hoja kwa Spika Anna Makinda kwamba wagombea watumie lugha ya kiingereza kuomba kura ili kupima uwezo wao wa lugha wasije wakaifedhehesha nchi kwenye mijadala ya bunge la africa Mashariki , Spika Makinda akakubali mwongozo wa Mwakyembe hatimaye wagombea wakaanza kuomba kura kwa lugha ya kiingereza , huku Le Mutuz Super brand mmoja wa wagombea wa ccm akiangukia pua .

Hapa ndipo ulipoibuka msemo maarufu wa " IAM SORRY , IAM GLAD " msemo uliotokana na mmoja wagombea kuomba kujitoa kwenye kinyang'anyiro , lakini miaka michache tu siku ya leo Mwakyembe huyohuyo safari hii akiwa waziri wa michezo anawataka washiriki wa Miss Tanzania kutumia kiswahili kujibu maswali akidai ni lugha inayotumika dunia nzima !

Je ameusahau mwongozo wake wa Bungeni ?
_Tuache kujitutumua kuongea Kiingereza cha kichaga, kinyakyusa n.k.... tutumie K.jpg


Kwetu Tandika Mwembeyanga kuna msemo maarufu kwamba UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU .

Naomba kuwasilisha .
 
Nilikuwa nikidhani tofauti kubwa kati ya mwafrika na mzungu ni elimu; kwamba mwafrika aliye na elimu sawa na mzungu atafikiri na kutenda mambo kama mzungu. Kumbe nilikuwa wrong. Tofauti yake ni RANGI.
 
Miaka ya nyuma kidogo wakati wa Kugombea ubunge wa Africa Mashariki ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mh Mwakyembe alitoa hoja kwa Spika Anna Makinda kwamba wagombea watumie lugha ya kiingereza kuomba kura ili kupima uwezo wao wa lugha wasije wakaifedhehesha nchi kwenye mijadala ya bunge la africa Mashariki , Spika Makinda akakubali mwongozo wa Mwakyembe hatimaye wagombea wakaanza kuomba kura kwa lugha ya kiingereza , huku Le Mutuz Super brand mmoja wa wagombea wa ccm akiangukia pua .

Hapa ndipo ulipoibuka msemo maarufu wa " IAM SORRY , IAM GLAD " msemo uliotokana na mmoja wagombea kuomba kujitoa kwenye kinyang'anyiro , lakini miaka michache tu siku ya leo Mwakyembe huyohuyo safari hii akiwa waziri wa michezo anawataka washiriki wa Miss Tanzania kutumia kiswahili kujibu maswali akidai ni lugha inayotumika dunia nzima !

Je ameusahau mwongozo wake wa Bungeni ?View attachment 860879

Kwetu Tandika Mwembeyanga kuna msemo maarufu kwamba UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU .

Naomba kuwasilisha .


Kiswahili kinachozungumzwa na wasanii walio wengi si fasaha (nakulaga, naogaga, ujage, apo, uku, ela, alafu, atakiwi, uruma, ongera nk) kwenye kiingereza hatupo na kwenye kiswahili hatupo
 
Miaka ya nyuma kidogo wakati wa Kugombea ubunge wa Africa Mashariki ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mh Mwakyembe alitoa hoja kwa Spika Anna Makinda kwamba wagombea watumie lugha ya kiingereza kuomba kura ili kupima uwezo wao wa lugha wasije wakaifedhehesha nchi kwenye mijadala ya bunge la africa Mashariki , Spika Makinda akakubali mwongozo wa Mwakyembe hatimaye wagombea wakaanza kuomba kura kwa lugha ya kiingereza , huku Le Mutuz Super brand mmoja wa wagombea wa ccm akiangukia pua .

Hapa ndipo ulipoibuka msemo maarufu wa " IAM SORRY , IAM GLAD " msemo uliotokana na mmoja wagombea kuomba kujitoa kwenye kinyang'anyiro , lakini miaka michache tu siku ya leo Mwakyembe huyohuyo safari hii akiwa waziri wa michezo anawataka washiriki wa Miss Tanzania kutumia kiswahili kujibu maswali akidai ni lugha inayotumika dunia nzima !

Je ameusahau mwongozo wake wa Bungeni ?View attachment 860879

Kwetu Tandika Mwembeyanga kuna msemo maarufu kwamba UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU .

Naomba kuwasilisha .
Wazo la kijinga kabisa, enzi hizo kiingereza ilikuwa muhimu, lakini siku hizi siyo lazima japo muhimu. Hii inatokana na Marais wa nchi 5 za Afrika Mashariki na maziwa makuu kutoa saini za kukubaliana kutumia Kiswahili kama lugha ya mikutano. Wewe bado unaturudisha enzi hizo?! Shame on you
 
Miaka ya nyuma kidogo wakati wa Kugombea ubunge wa Africa Mashariki ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mh Mwakyembe alitoa hoja kwa Spika Anna Makinda kwamba wagombea watumie lugha ya kiingereza kuomba kura ili kupima uwezo wao wa lugha wasije wakaifedhehesha nchi kwenye mijadala ya bunge la africa Mashariki , Spika Makinda akakubali mwongozo wa Mwakyembe hatimaye wagombea wakaanza kuomba kura kwa lugha ya kiingereza , huku Le Mutuz Super brand mmoja wa wagombea wa ccm akiangukia pua .

Hapa ndipo ulipoibuka msemo maarufu wa " IAM SORRY , IAM GLAD " msemo uliotokana na mmoja wagombea kuomba kujitoa kwenye kinyang'anyiro , lakini miaka michache tu siku ya leo Mwakyembe huyohuyo safari hii akiwa waziri wa michezo anawataka washiriki wa Miss Tanzania kutumia kiswahili kujibu maswali akidai ni lugha inayotumika dunia nzima !

Je ameusahau mwongozo wake wa Bungeni ?View attachment 860879

Kwetu Tandika Mwembeyanga kuna msemo maarufu kwamba UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU .

Naomba kuwasilisha .
Huyo mtu tangu alipo pona ugonjwa ule bado akili haija mrudia vema
 
Sujui Mwakyembe alishindaje Ubunge Kyela! Hakika sijui 'mazingaombwe' gani yalitumika kumtangaza mshindi.. Kama anavyochukiwa kwao ndivyo nami ninavyomchukia


Anatakiwa kuwa nicknamed Kigeugeu
Rejea andiko lake la PhD alilolikana kwenye BMK aliponukuliwa na Lissu kama sijakosea
Na hili la leo ni ushahidi tosha kuwa haaminiki
 
Wazo la kijinga kabisa, enzi hizo kiingereza ilikuwa muhimu, lakini siku hizi siyo lazima japo muhimu. Hii inatokana na Marais wa nchi 5 za Afrika Mashariki na maziwa makuu kutoa saini za kukubaliana kutumia Kiswahili kama lugha ya mikutano. Wewe bado unaturudisha enzi hizo?! Shame on you
Kiingereza bado ni muhimu sana hasa kwa karne hii tuliyo nayo maana hata kuomba misaada kutoka kwa wazungu inabidi tutumie kiingereza ndio tunamuona poropesa kalamaganda karudi kila siku yupo nje ya nchi
 
Back
Top Bottom