Hii inamhusu zaidi utafiti na Tized na Mndengereko maana walisherehekea sana valentine na kuna kamtu kanaitwa Excel bila kumsahau Mentor
utafiti ameshakanusha kule, karuka mbali kabisa....
hapa kuna msuguano kweli kati ya team mbili hizi, maana kuna waliokuwa wasafi sasa wengine sio....#teamurafiki imeanza baada ya valentine haya matendo yalifanyika wakati wengi wao wakiwa #teambazazi tutapima DNA
hawa jamaa wanahusika eh! subirini waje hawa uone....
ahahahahah
kijana lazima kichwa kiume..hasa kama ni bazazi
waweza kuhama mji usipoangalia.....