HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,935
- 102,690
Hawaangalii marksView attachment 3316960
Mkuu watu wanapiga HEDEX muda huu
Hawaangalii marksView attachment 3316960
Mkuu watu wanapiga HEDEX muda huu
Sawa InterviewerHawaangalii marks
Duh dini tenaNaomba kujua kidogo, utaratibu huu mpya unaficha nini?
Siasa?
Dini?
Ukabila?
Udugurism?
Kwani majina ya waliochaguliwa na kutochaguliwa waliomba TRA yametoka kimajina kama vile matokeo ya Form iv na Form six
😁😁Siitaji kazi dadaAhsante mkuu, vipi wewe hukuapply?
Siasa,dini,ukabila unasaidia nn au function yake kwenye position husika ni nini?Naomba kujua kidogo, utaratibu huu mpya unaficha nini?
Siasa?
Dini?
Ukabila?
Udugurism?
Kwani majina ya waliochaguliwa na kutochaguliwa waliomba TRA yametoka kimajina kama vile matokeo ya Form iv na Form six
Tatizo elimu yetu haisaidii kutafuta majibu ya matatizo yanayosumbua taifa, lkn pia ujinga wa wenye dhamana kudhani tatizo km la ajira Tanzania ni lile lile hata kwa Marekani, Misri nk..si kweli na hivyo kujifariji na kutotafuta majibu..Hivi unafahamu vyuo vikuu na vyuo vya kati vyote nchini, private& government owned, vinatoa wahitimu kias gani Kwa mwaka kwenye soko la ajira?
Daah 😁😁😁Nimekula zangu single digit na wala siwazi na nishawaambia home, hapa nyumban sihami wala nn,labda wao ndo wanipishe
BONGO NYOSO🙆Na 90 yangu nimekula za uso 😔 kuna mdau humu ana 95 naye amekula za uso
Baba Muumba Amekujalia Umebahatika Kuongeza Sahani Ya Ndigwa,,Hongera Mamii,,I Appreciate You So Cooled😍Mungu ni mwema 🙏
Ahsante sana mkuu, namshukuru kwa kweli, ngoja tupambane kwenye hatua zingine sasa, ila "sahani ya ndigwa" ni nini hapo umeniacha😀😀Baba Muumba Amekujalia Umebahatika Kuongeza Sahani Ya Ndigwa,,Hongera Mamii,,I Appreciate You So Cooled😍
Sahani Ya Ugali(Ndigwa)Mamii,,,All The Best On The All To The Next One Bibie....Ahsante sana mkuu, namshukuru kwa kweli, ngoja tupambane kwenye hatua zingine sasa, ila "sahani ya ndigwa" ni nini hapo umeniacha😀😀
Oh ahsante sana mkuu 🙏Sahani Ya Ugali(Ndigwa)Mamii,,,All The Best On The All To The Next One Bibie....
Ingia kwenye page ya TRA, twiter wamepost anwani ya kutuma malalamiko yakoINTERVIEW N0: TRA/09/175419
JINA: BAKAR ATHMAN LUHIZO
MARKS: 92
HABARI, POLENI NA MAJUKUMU YA KAZI. NILIFANYA INTERVIEW YA SECURITY SYSTEM OPERATOR (30-03-2025, Dodoma, Avenue:Udom; Saa 8mchana)
CHANGAMOTO YANGU NI KUPATA MARKS 92 KAMILI, KWENYE WRITTEN, IHALI KILA SWALI LINA 2.5marks. JE HII INAMAANISHA NIMEKATWA .5 YA MARKS NA KIVIPI?!
KWA UELEWA WANGU , NILITAKIWA KUPATA 92.5 KWAKUA MASWALI NILIYOKOSA NI MATATU(3 x 2.5) SAWA NA 7.5 NJE YA 100. ILA NIMEWEKEWA 92 KAMILI.
(100 - 7.5 = 92.5)
KWA DHATI NAWAOMBA MSAADA JUU YA HILI TAFADHARI..
Cool Mamii....✊✊Oh ahsante sana mkuu 🙏