Matokeo ya usaili TRA 2025
Mbona Human Resource Officer II hawajatoa au ndiyo wanawapanga wajomba zao
 
Kuna fani nmeona apo usaili wamefanywa Watu karibia alfu 2 🤔
 
Aisee apa hakuna WA kulaumiwa zaidi ya magu, huyu mzee alitutengenezea janga kubwa sana sana la ajira na vijana wetu ndo wanateseka Sana namna hii.
 
Miaka 6 tu ya magu,

Huyu Mzee katutengenezea janga kubwa la ajira litakalotucost miaka 100 mbeleni uko mpk Kuja kulisolve kukaa sawa.

-Magu alipunguza watumishi WA umma maofsini, waliokua watumishi wakarud mtaani na kua majobless.

-magu akashindwa kuajiri watumishi wapya, akijua fika kua Kila mwaka vyuo kibao vinatema graduates mtaani.

-magu aliua sekta BINAFSI Kwa kuwanyanyasa matajiri, akisahau kua ndo mwajiri mkubwa hapa nchini.

Alale mahali pema peponi, Ila Kwa hili janga, Kiukweli AMETUCOST pakubwa Mno
 
Miaka 6 tu ya magu,

Huyu Mzee katutengenezea janga kubwa la ajira litakalotucost miaka 100 mbeleni uko mpk Kuja kulisolve kukaa sawa.

-Magu alipunguza watumishi WA umma maofsini, waliokua watumishi wakarud mtaani na kua jobless.

-magu akashindwa kuajiri watumishi wapya, akijua fika kua Kila mwaka vyuo kibao vinatema graduates mtaani.

-magu aliua sekta BINAFSI Kwa kuwanyanyasa matajiri, akisahau kua ndo mwajiri mkubwa hapa nchini.

Alale mahali pema peponi, Ila Kwa hili janga, Kiukweli AMETUCOST pakubwa Mno
Una chiki binafsi tu na Magu. Magu aliajiri watu wengi tu enzi za utawala wake. Kama hukuajiriwa ni wewe ila sio kusema watu hawakuajiriwa.

Sasa kama hakuajiri miaka 6 na nafasi zilikuwepo kwa nini wasiajiriwe wote ambao walipaswa kuaniriwa kwa kipindi cha miaka 6 ya Magu, nafasi zao zimeenda wapi, si waajiriwe wote sasa nini kinachozuia wasiajiriwe?

Pili usichokielewa ni kwamba, serikali ina ceiling ya matumizi, haiwezi kua inaajiri tu kisa watu wamemaliza vyuo vikuu hata juzi Simbachawene alisema, serikali inaajiri kutokana na mahitaji na upatikanaji wa fedha. Ndio maana hata sasa hawaajiriwi wote wanaomaliza vyuo vikuu.
 
Una chiki binafsi tu na Magu. Magu aliajiri watu wengi tu enzi za utawala wake. Kama hukuajiriwa ni wewe ila sio kusema watu hawakuajiriwa.

Sasa kama hakuajiri miaka 6 na nafasi zilikuwepo kwa nini wasiajiriwe wote ambao walipaswa kuaniriwa kwa kipindi cha miaka 6 ya Magu, nafasi zao zimeenda wapi, si waajiriwe wote sasa nini kinachozuia wasiajiriwe?

Pili usichokielewa ni kwamba, serikali ina ceiling ya matumizi, haiwezi kua inaajiri tu kisa watu wamemaliza vyuo vikuu hata juzi Simbachawene alisema, serikali inaajiri kutokana na mahitaji na upatikanaji wa fedha. Ndio maana hata sasa hawaajiriwi wote wanaomaliza vyuo vikuu.
Mi nmejiajiri mkuu, naongea Kwa ajili ya vijana, Sina chuki yoyote na magu, anayo mazuri yake Mengi, Ila icho kitengo alinibugi sana
 
Una chiki binafsi tu na Magu. Magu aliajiri watu wengi tu enzi za utawala wake. Kama hukuajiriwa ni wewe ila sio kusema watu hawakuajiriwa.

Sasa kama hakuajiri miaka 6 na nafasi zilikuwepo kwa nini wasiajiriwe wote ambao walipaswa kuaniriwa kwa kipindi cha miaka 6 ya Magu, nafasi zao zimeenda wapi, si waajiriwe wote sasa nini kinachozuia wasiajiriwe?

Pili usichokielewa ni kwamba, serikali ina ceiling ya matumizi, haiwezi kua inaajiri tu kisa watu wamemaliza vyuo vikuu hata juzi Simbachawene alisema, serikali inaajiri kutokana na mahitaji na upatikanaji wa fedha. Ndio maana hata sasa hawaajiriwi wote wanaomaliza vyuo vikuu.
Hivi unafahamu vyuo vikuu na vyuo vya kati vyote nchini, private& government owned, vinatoa wahitimu kias gani Kwa mwaka kwenye soko la ajira?
 
Back
Top Bottom