Chadema inazidi kuwaumiza magamba.Kiwila ipo wilaya ya Rungwe mkoa wa mbeya mkuu @ mkusa
we jamaa wa wapi hivi..mbona unabehave kama kubwa ..nga sikuelewi kijana... unashabikia... matatizo? nyie ndo mnarudisha maendeleo ya nchi nyuma...Hongera CCM - Halisi kwa ushindi mzito na wa kishindo katika uchaguzi wa madiwani hayo ni matokeo kidogo ya ujenzi mpyaa wa chama katika ngazi ya matawi na mashina. Mabadiliko mapya ya CCM Taifa na haya yatatikisa Mafisadi wote na washika pembe wa cdm
njema kamanda ingawa nina majonzi ya kupata kata chache! miahabari yako mkuu?. mia
Matokeo Rasmi ya Udiwani Kata hii ya Nanjara Reha ni haya:
CHADEMA KURA 2370
CCM KURA 1134
Kilema Kusini [Bado kituo 1 cha Malawe Chura]
TLP 946
CDM 727
CCM 707
Ahsanteni sana Wana Nanjara Reha kwa kuendelea kuiamini CHADEMA na kuitupilia mbali CCM. Mmechagua Mabadiliko mkaacha Mafisadi! Mmechagua jema na kuacha baya! Mmefanya maamuzi sahihi.
Mungu awabariki sana!
njema kamanda ingawa nina majonzi ya kupata kata chache! Mia
BANGATA –ARUSHA
CDM- wameshinda
Followed by ccm.
hivi watz wataelimika lini? mbona majambazi bado wanashinda? mie siwaelewi hawa vilaza wanaochagua ccm....
hivi watz wataelimika lini? mbona majambazi bado wanashinda? mie siwaelewi hawa vilaza wanaochagua ccm....
huko bado wako kwenye shimo wamekandamizwa bado, si unajua kwa staili ya chama cha nyerere huku wakipewa takrima!Kata ya mpepo mbinga nayo wamepigwa kwa asilimia 89 jamani wana jf njooni na hapa mchangie basi
kaka takrima na uelewa wa watu wetu,ccm wamewekeza kwa wajinga!Mhnnn...haya Bwana. Asiyekubali kushindwa si mshindani...ila hawa jamaa wa Songea watakuwa na uelewa kidogo kwa chama cha .....