Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Mtihani nimeufanya, tuliopata kuanzia 70 sidhani kama tunafika hata 40 kati ya watu 14,000. Sijafuatilia sana sababu namba yangu ipo page ya kwanza, pages nyingine mia ngapi sina hakika wameita kuanzia alama zipi. Ila naambiwa kuna zero kama kumi hivi.

Marks nilizojua nitapata nimekosa mbili kuzifikisha, nina historia ya kuwa accurate kukadiria marks nitakazopata kama swali sina hakika sihesabii, kama sijui sijui, sina kubahatisha na nikitoka nahakiki na wale top cream kichwani.

Tuliopata alama za juu tunakwambia mtihani ulikuwa na mitego, uliyepata chache unadai mitego haikuwepo.

Na mtihani wa Customs haukuvuja, sijaona aliyekuwa anastahili akilalamika. Wanaolalamika ni wale hata tukijadili kitu hawajui, solvings wanakariri badala waelewe, wanalalamikia kutokuwa na calculation swali nyanya lile kuzidisha % za mamilioni yaliyo kamilifu. Mtu % ya 105,000,000 analalamika hana calculator.
Je ile Calculation ulitumia CIF au Ulitumia FOB
 
VAT nilipata around 20M na total taxes nilipata around 100M ila nilionyesha njia clear pembeni. Hilo swali lilikuwa na majibu tofauti sababu ya kutokuwa na calculator ukikaribisha mwanzoni baadae unapata majibu tofauti, ukitaka kufanya to decimal point huna muda, ndio maana wengi tukatofautiana.
Hongera ata sikumbuki, ila Kuna figure ya 8M ndo nahisi kukumbuka
 
Huo mgawanyo uangalie!! Kadili watu wanavyofeli ndo wanazidi kufanana
Waliofanya mtihani ni 14,000. Marks zote ni 100. Tengeneza probability ni namna gani watu hawatakiwi kupata marks zinazofanana.

Na logic ya kawaida kabisa, kadri unavyopanda hierarchy watu wanafanana au kutofautiana?

I expect matajiri watofautiane sababu ni wachache na wana options, Bakhresa anaweza kuwa na yatch na Mo Dewji akawa na private jet. Ila maskini wa Yombo Dovya na Tandale wakafanana kwenye maisha: ndala, visimu vya tochi, nguo zilizochanika, wote wanakula mihogo, hawajawahi kwenda vacation, hawajawahi nunua hisa wala kumiliki real estate.

Vilevile kwenye matokeo, ni kawaida 100 kukosa, 90+ kuwa mbili, 80+ kuwa 5, 70+ kuwa 10 ila 40+ kuwa hata 50. Hii ni probability
 
Waliofanya mtihani ni 14,000. Marks zote ni 100. Tengeneza probability ni namna gani watu hawatakiwi kupata marks zinazofanana.

Na logic ya kawaida kabisa, kadri unavyopanda hierarchy watu wanafanana au kutofautiana?

I expect matajiri watofautiane sababu ni wachache na wana options, Bakhresa anaweza kuwa na yatch na Mo Dewji akawa na private jet. Ila maskini wa Yombo Dovya na Tandale wakafanana kwenye maisha: ndala, visimu vya tochi, nguo zilizochanika, wote wanakula mihogo, hawajawahi kwenda vacation, hawajawahi nunua hisa wala kumiliki real estate.

Vilevile kwenye matokeo, ni kawaida 100 kukosa, 90+ kuwa mbili, 80+ kuwa 5, 70+ kuwa 10 ila 40+ kuwa hata 50. Hii ni probability
Poa mkali, lakn wakati mwingne hata wa mwisho anakuwaga mmoja tyu
 
CIF nakumbuka haikuwepo ilibidi utumie FOB na I & F kuipata. Aliyeweka FOB kama CIF alikosa
Kuna wakati lazima niseme ukweli!! Pale hakukuwa na FOB! Ulitakiwa utumie CIF..
 
Poa mkali, lakn wakati mwingne hata wa mwisho anakuwaga mmoja tyu
Wenye zero wako 9 kama sio 10.

Kwani wakuu nyinyi mlitarajia wenye 100 wawe wengi na wenye 30 wawe wachache. Kipi rahisi kupata kati ya marks za juu na marks za chini?
Kupata chache hautumii nguvu, kupata za juu unasoma na unaelewa na lazima uwe umejipanga zaidi.
 
Back
Top Bottom