Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,741
- 7,271
Wasomi punguzeni malalamishi, mko wengi mnataka wote mpewe ajira?, hilo suala lishaisha endeleeni na mambo mengine, haitatokea siku ambayo serikali itamfuraisha kila mtu, sahau kuhusu hilo.
Mitego lazima iwepo ili mchujwe wabaki watu wanaowataka wao, kuendelea kulalamika sio solution bali kudai mabadiriko kupitia mifumo mipya ya elimu ya kuwatoa ktk hilo giza la kulilia ajira.
Anyway mitaani kazi nyingi hamzitaki, mnataka wote mjazane maofisini ili mukwapue kodi za wananchi😅.
Tafuteni skills&maarifa mapya acheni utumwa wa kulilia viajira vya kuutweza utu wenu.
Mitego lazima iwepo ili mchujwe wabaki watu wanaowataka wao, kuendelea kulalamika sio solution bali kudai mabadiriko kupitia mifumo mipya ya elimu ya kuwatoa ktk hilo giza la kulilia ajira.
Anyway mitaani kazi nyingi hamzitaki, mnataka wote mjazane maofisini ili mukwapue kodi za wananchi😅.
Tafuteni skills&maarifa mapya acheni utumwa wa kulilia viajira vya kuutweza utu wenu.