Hakukuwa na CIF sasa nakumbuka hivyo. FOB si lazima utajiwe kabisa kwa herufi "FOB". Kuna maelezo ukisoma unajua yanaimaanisha.
Ukiwa Kama Afisa huwezi ambiwa hii ni FOB!!
Maana unakuwa kweny calculation.
Nahio ni Transaction Method pekeake
FOB.. free onboard
Yaani mzigo unapotoa nchi husika ye seller. Anakufikishia mzigo bandarini tuu. Baada ya hapo gharama zote ni zako mpaka mzigo unafika Tz.
Kuanzia, usafir, insurance na gharama zoote
So unachukua price yake + insurance+ freight
Lakini kwa CIF
Muuzaji anakuletea mzigo mpaka bandarini kwako.
So gharama zake
C = cost, I = insurance F= freight
Hio FOB na CIF ndo unazitoza ushuru!
Halafu hio ni njia moja, Kuna njia nyingi
Kama
1. Transaction ya similar products
2.Transaction ya identical
3.Computation
4. Fallback
Na nyingne nishasahau.
Based na swali, huwezi tumia FOB kwasababu, tayari Kuna CIF ipo. Na ile gharama ya yeye kutoa mzigo bandarini huwezi include kweny Calculation zako mzeee.
Ni vile tuu bado serikali haitoi uhuru wakuona namna walivyosahihisha!! inawezekana wakawa wamefuata ushauri wako