Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Kuna wakati lazima niseme ukweli!! Pale hakukuwa na FOB! Ulitakiwa utumie CIF..
Hakukuwa na CIF sasa nakumbuka hivyo. FOB si lazima utajiwe kabisa kwa herufi "FOB". Kuna maelezo ukisoma unajua yanaimaanisha.
 
Na bado sijaitwa oral
Swali la solving lilikuwa na marks chache sana, kupatia hilo pekee hata marks 10 hufikishi. Ndio maana nililifanya la mwisho, refu ila halina marks. Muda unaotumia kutafakari maswali mengine upate marks 15 za uhakika ndio unautumia kulijibu.
 
Randomly observation! Lakn you may dig deep! Unaweza gundua kitu!! Mfano maks zetu ni based on 5 lakn utakuta mtu kapata 42.4..

Na huyo mweny 42.4 haijakaa center aligned, but ni as if imetypiwa
Marks hazikuwa based on 5, kama ungejumlisha scores kwenye maswali ungejua 5 haileti exact 100%

Kuna vitu maybe vilizingatiwa labda kuonyesha njia ya kupata jibu, usafi, kufuta au kitu kingine.
 
Wenye zero wako 9 kama sio 10.

Kwani wakuu nyinyi mlitarajia wenye 100 wawe wengi na wenye 30 wawe wachache. Kipi rahisi kupata kati ya marks za juu na marks za chini?
Kupata chache hautumii nguvu, kupata za juu unasoma na unaelewa na lazima uwe umejipanga zaidi.
Anyway, zingatia na malalamiko mengine! Sio lazima hayo! Ya pyramid
 
Swali la solving lilikuwa na marks chache sana, kupatia hilo pekee hata marks 10 hufikishi. Ndio maana nililifanya la mwisho, refu ila halina marks. Muda unaotumia kutafakari maswali mengine upate marks 15 za uhakika ndio unautumia kulijibu.
Daah! Acha tuu.. mi kweny calculation Niko vzuri sana..
Hata true and false
Lakn huku kweny multiple choice kulikuwa kweupe tuu
 
Marks hazikuwa based on 5, kama ungejumlisha scores kwenye maswali ungejua 5 haileti exact 100%

Kuna vitu maybe vilizingatiwa labda kuonyesha njia ya kupata jibu, usafi, kufuta au kitu kingine.
Fresh mwanangu katuwakilishe kweny ORAL
 
Marks hazikuwa based on 5, kama ungejumlisha scores kwenye maswali ungejua 5 haileti exact 100%

Kuna vitu maybe vilizingatiwa labda kuonyesha njia ya kupata jibu, usafi, kufuta au kitu kingine.
Kwahio Kama umekosea usifute
 
Hakukuwa na CIF sasa nakumbuka hivyo. FOB si lazima utajiwe kabisa kwa herufi "FOB". Kuna maelezo ukisoma unajua yanaimaanisha.
Ukiwa Kama Afisa huwezi ambiwa hii ni FOB!!

Maana unakuwa kweny calculation.
Nahio ni Transaction Method pekeake

FOB.. free onboard
Yaani mzigo unapotoa nchi husika ye seller. Anakufikishia mzigo bandarini tuu. Baada ya hapo gharama zote ni zako mpaka mzigo unafika Tz.
Kuanzia, usafir, insurance na gharama zoote
So unachukua price yake + insurance+ freight

Lakini kwa CIF
Muuzaji anakuletea mzigo mpaka bandarini kwako.
So gharama zake
C = cost, I = insurance F= freight

Hio FOB na CIF ndo unazitoza ushuru!

Halafu hio ni njia moja, Kuna njia nyingi
Kama
1. Transaction ya similar products
2.Transaction ya identical
3.Computation
4. Fallback
Na nyingne nishasahau.

Based na swali, huwezi tumia FOB kwasababu, tayari Kuna CIF ipo. Na ile gharama ya yeye kutoa mzigo bandarini huwezi include kweny Calculation zako mzeee.

Ni vile tuu bado serikali haitoi uhuru wakuona namna walivyosahihisha!! inawezekana wakawa wamefuata ushauri wako
 
Ukiwa Kama Afisa huwezi ambiwa hii ni FOB!!

Maana unakuwa kweny calculation.
Nahio ni Transaction Method pekeake

FOB.. free onboard
Yaani mzigo unapotoa nchi husika ye seller. Anakufikishia mzigo bandarini tuu. Baada ya hapo gharama zote ni zako mpaka mzigo unafika Tz.
Kuanzia, usafir, insurance na gharama zoote
So unachukua price yake + insurance+ freight

Lakini kwa CIF
Muuzaji anakuletea mzigo mpaka bandarini kwako.
So gharama zake
C = cost, I = insurance F= freight

Hio FOB na CIF ndo unazitoza ushuru!

Halafu hio ni njia moja, Kuna njia nyingi
Kama
1. Transaction ya similar products
2.Transaction ya identical
3.Computation
4. Fallback
Na nyingne nishasahau.

Based na swali, huwezi tumia FOB kwasababu, tayari Kuna CIF ipo. Na ile gharama ya yeye kutoa mzigo bandarini huwezi include kweny Calculation zako mzeee.

Ni vile tuu bado serikali haitoi uhuru wakuona namna walivyosahihisha!! inawezekana wakawa wamefuata ushauri wako
Swali lile navyokumbuka halikuwa na CIF bali lilikuwa FOB na relevant data za kukuwezesha kupata CIF. Hawakutoa swali uchi namna unayoandika hapa.
 
Fresh mwanangu katuwakilishe kweny ORAL
Naweza nisiende, au nikienda nisipate ila hoja zako zote ukizichunguza vizuri hazina uzito.

Mosi, unataka marks zisifanane. Nimekuomba tengeneza scenario ya watu 14,000 kupata marks zisizofanana kati ya marks 100 umeshindwa. That means hata wewe ungekuwa unaendesha zoezi ungeshindwa kuhakikisha kila mtu ana marks zake peke yake.

Yaani unataka kwenye mtihani wa NECTA Form Four, watahiniwa wakiwa jumla milioni moja, basi wenye Div.1 wawe 250k, wenye Div.2 wawe 250k, wenye Div.3 wawe 250k na Div.4 wawe 250k kisha wasiwepo wenye 0 sababu mtihani ulionekana sio mgumu.
 
Kuna mdada wa baloz flan nchini alifanyaga written ya customs akafeli kabisa hata oral hakwenda Wala hakuchaguliwa

Mzigo wa majina ya customs walioajiriwa yalipo Toka naye yumo, asaivi anakula maisha ni custom officer wa TRA.

Kuna watu wanainjoy maisha kirahisi kweli wanaishi kama malaika
 
Ukiwa Kama Afisa huwezi ambiwa hii ni FOB!!

Maana unakuwa kweny calculation.
Nahio ni Transaction Method pekeake

FOB.. free onboard
Yaani mzigo unapotoa nchi husika ye seller. Anakufikishia mzigo bandarini tuu. Baada ya hapo gharama zote ni zako mpaka mzigo unafika Tz.
Kuanzia, usafir, insurance na gharama zoote
So unachukua price yake + insurance+ freight

Lakini kwa CIF
Muuzaji anakuletea mzigo mpaka bandarini kwako.
So gharama zake
C = cost, I = insurance F= freight

Hio FOB na CIF ndo unazitoza ushuru!

Halafu hio ni njia moja, Kuna njia nyingi
Kama
1. Transaction ya similar products
2.Transaction ya identical
3.Computation
4. Fallback
Na nyingne nishasahau.

Based na swali, huwezi tumia FOB kwasababu, tayari Kuna CIF ipo. Na ile gharama ya yeye kutoa mzigo bandarini huwezi include kweny Calculation zako mzeee.

Ni vile tuu bado serikali haitoi uhuru wakuona namna walivyosahihisha!! inawezekana wakawa wamefuata ushauri wako
 

Attachments

  • Screenshot_20250504_030824_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250504_030824_WhatsApp.jpg
    365.3 KB · Views: 14
Kutokana na uchunguzi wangu mdogo kwenye PDF ya MATOKEO ya TRA, hasa kweny upande wa Custom II, Kuna vitu vimenipa maswali mengi
1. Kwa Jinsi maksi zilivyopangwa ni ngumu mtu kupata 43, au 42.4.
Kwasababu mtihani ulikuwa na maswali matatu ambayo kimsingi huwezi pata hizo maksi na majibu yalikuwa ni direct ukikosa umekosa au ukipata umepata haiwezekani ukapata hizo point

2. Watu wengi kuwa na maksi zinazofanana. Kiuhalisia nashindwa kuelewa inakuwaje watu zaid ya 300 wote wamepata 45.5 au 41
Hapa walimu mnisaidie inawezekana kweli watu kuwa wanafanana fanana kweny maksi
Yaani unakuta listi ndefu ndefu wote mmefanana zaidi ya watu 300. Hilo kwangu ni impossible

3. Range ya watu kufanana maksi inaenda inazid kulingana na kuwa amechaguliwa au hapana.
Mfano: watu ambao wanamaksi za juu kweny hio PDF wanaofanana maksi ni wachache, unaweza Kuta hawazidi kadhaa, lakin wanaofanana maksi wanazidi kuongezeka kulingana na kutochaguliwa kwao.

Utakuta ambao hawajachaguliwa watu zaid ya 258, au mpaka watu 300 wote wamepata 41 na hio interval inazid ongezeka kadili watu wanavyokuwa hawajachaguliwa na maksi zao kuwa ndogo

4. ili kila mtu aridhike ingekuwa heri mchakato huu ukawa computarize yaani watu wajibie maswali mtandaoni na maksi zake azipatie palepale, mchakato huu uwe huru na uwazi.

Au wangemtumia kila mtu PDF ya mtihani wake alioufanya ili mtu asiwe na maswali na wao. Hii ingesaidia Kama mtu kanyimwa maksi makusudi au ni uzembe wake.

Sasa wakifanya kila kitu Gizani Kuna maana gani ya kuwepo na mtihani ambao unapewa maksi uliopata na sio kujua wapi ulipokosea

Nna uhakika hata alietunga huo mtihani wa custom officer II, angeenda aufanye kimya kimya matokeo yake angekuwa huko kwenye 42.4
Yaani ki ukweli nilifanya interview mahakamani baada ya ku submit majibu yanaonekana hapo hapo kwa hiyo unatoka ukiwa unajua ulichopanda ndio umevuna
 
Back
Top Bottom