Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Mligelezeanaje na maswali yalichanganywa?
Kwenye ile row yetu sisi watu kama watano ambao niliweza kuona karatasi zao kwa usahihi mitihani yetu ilikuwa inafanana.. yaan nilikuwa naona kabisa swali la tano kule ndio hili hili lililopo kwenye karatasi yangu.

watu sio tu kwamba waliangaliziana, bali walikuwa wanafanya mpaka discussion kabisa.

Hapo bado sijawaongelea waliongia na simu.
 
Wanatumia mbinu gani kweny jegenerate haya matokeo.
unascan unampa AI kumpromt asahihishe huku ukiwa ushampa na marking sheme.Mbona simple tu kazi inapigwa chap kwa haraka.Na mtiahani ukiwa objective ndo precision ya AI inakuwa juu zaidi.
 
Kwenye ile row yetu sisi watu kama watano ambao niliweza kuona karatasi zao kwa usahihi mitihani yetu ilikuwa inafanana.. yaan nilikuwa naona kabisa swali la tano kule ndio hili hili lililopo kwenye karatasi yangu.

watu sio tu kwamba waliangaliziana, bali walikuwa wanafanya mpaka discussion kabisa.

Hapo bado sijawaongelea waliongia na simu.
Lkn marks zimekuja za ajabu yaweza kua walistandardize
 
Pambana siku nyingine usaili unahusisha watu wengi sana ukiona swali liko wazi usilifanye fikiria mara tatu mpka nne maswali kama hayo yanakuwa na mitego isiyoonekana kirahisi kwa watu wenye haraka
Kiongozi umefanya hata mtihani mmoja wa TRA pale??..

Usidanganyike kuwa maswali yalikuwa na mitego sana! Hakuna mitego!

Tumejiandaaga kwa muda ujue! Halafu nikwamba Kama sikuwa sahihi basi hata maelezo Yao ya Kodi hayako sahihi...

Ukiaambiwa hawajasahihisha usidhan tunawasingizia
 
Back
Top Bottom