Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Kuna mdada wa baloz flan nchini alifanyaga written ya customs akafeli kabisa hata oral hakwenda Wala hakuchaguliwa

Mzigo wa majina ya customs walioajiriwa yalipo Toka naye yumo, asaivi anakula maisha ni custom officer wa TRA.

Kuna watu wanainjoy maisha kirahisi kweli wanaishi kama malaika
Hahawezi kuyajua haya na aliyeshiba hamjui mwenye njaa.
 
Swali lile navyokumbuka halikuwa na CIF bali lilikuwa FOB na relevant data za kukuwezesha kupata CIF. Hawakutoa swali uchi namna unayoandika hapa.
Jaman swali si lilikuwa na figure 3 tatu na conversion ya USD
 
Wapo watu 14,000 wanatakiwa 800. Mmoja kafuta mwingine hajafuta, unafanyaje kupunguza idadi mpaka wale elfu 14 wawe 800?
Duuuuh hatari inawezekana kufuta kukawa na impact
 
Naweza nisiende, au nikienda nisipate ila hoja zako zote ukizichunguza vizuri hazina uzito.

Mosi, unataka marks zisifanane. Nimekuomba tengeneza scenario ya watu 14,000 kupata marks zisizofanana kati ya marks 100 umeshindwa. That means hata wewe ungekuwa unaendesha zoezi ungeshindwa kuhakikisha kila mtu ana marks zake peke yake.

Yaani unataka kwenye mtihani wa NECTA Form Four, watahiniwa wakiwa jumla milioni moja, basi wenye Div.1 wawe 250k, wenye Div.2 wawe 250k, wenye Div.3 wawe 250k na Div.4 wawe 250k kisha wasiwepo wenye 0 sababu mtihani ulionekana sio mgumu.
Hukunielewa mi nimeangalia angel nyingi si hio ya idadi pekeake!

Lakn kweny idadi pia imeonekana kadiri flow inavyozid ndo idadi ya wanaofanana maksi inazid wakati kiuhalisia ni randomly selection!

Hio ukiichunguza sio randomly selection!! Ni Linear selection.

Unaenda inaongezeka kwa kushuka alama
 
Kuna mdada wa baloz flan nchini alifanyaga written ya customs akafeli kabisa hata oral hakwenda Wala hakuchaguliwa

Mzigo wa majina ya customs walioajiriwa yalipo Toka naye yumo, asaivi anakula maisha ni custom officer wa TRA.

Kuna watu wanainjoy maisha kirahisi kweli wanaishi kama malaika
Daaah! Vitu hivi vinatia uchungu mkubwa sana kweny mioyo yetu
 
Daah una nondo kweli... Roho inauma 😅😅😅
 
Yaani ki ukweli nilifanya interview mahakamani baada ya ku submit majibu yanaonekana hapo hapo kwa hiyo unatoka ukiwa unajua ulichopanda ndio umevuna
Huo mfumo ndo wenyewe sasa!! Kwann hawa supply!! Tusaidieni tuujue huo mfumo angalau utumike huku
 
Kwani hawakukujibu Ile email ya pili, baada ya kutuma appeal TRA umepata email ngapi kutoka kwao??
Nilipata kwamba wamereply suala Hilo wanalishughulikia
 
Kwani hawakukujibu Ile email ya pili, baada ya kutuma appeal TRA umepata email ngapi kutoka kwao??
Maana Oral tarehe 07 na leo tarehe 04
Ngoja nisubir nione
 
Isenye Nataka kujua baada ya kutuma appeal, TRA wamekutumua email ngapi?? Moja au zaidi ya moja
 
Isenye Nataka kujua baada ya kutuma appeal, TRA wamekutumua email ngapi?? Moja au zaidi ya moja
Karibu TRA huduma kwa wateja. Ombi lako limesajiliwa kwa tiketi namba 37963.
Tumelipokea na tunalifanyia kazi.

Walijibu hivyo 👆👆👆
 
Back
Top Bottom