- Thread starter
- #121
Simba angeonewa hapo! Mngeongea weee mpka asubuh!Aah wapiii?! ๐๐๐๐
Kwakuwa hili halina maslahi wengi wanakaa kimya tu
Simba angeonewa hapo! Mngeongea weee mpka asubuh!Aah wapiii?! ๐๐๐๐
Nimecheka, ๐๐๐๐Simba angeonewa hapo! Mngeongea weee mpka asubuh!
Kwakuwa hili halina maslahi wengi wanakaa kimya tu
Wew angalau unasikilizwa hapa jukwaan!!Nimecheka, ๐๐๐๐
Sasa waja tufanyejee? Wenye nchi yao wameshaamua. Lol
Wengine wamepataje?Kiongozi umefanya hata mtihani mmoja wa TRA pale??..
Usidanganyike kuwa maswali yalikuwa na mitego sana! Hakuna mitego!
Tumejiandaaga kwa muda ujue! Halafu nikwamba Kama sikuwa sahihi basi hata maelezo Yao ya Kodi hayako sahihi...
Ukiaambiwa hawajasahihisha usidhan tunawasingizia
Huo ndo mfumo ndo kwenye history sijui wanaitaje? (Scrambo and pertishen) Ukiwagawany utawa tawalaWengine wamepataje?
Swali la calculations ulipata jibu gani, lile la tax and duties.Ile ya customs nilikua na uhakika wa kupata 80+ but nimewekewa 60.imenishangaza
Mtihani ulikuwa na mitego. Kama hukuiona ndio maana unalalamikia matokeoKiongozi umefanya hata mtihani mmoja wa TRA pale??..
Usidanganyike kuwa maswali yalikuwa na mitego sana! Hakuna mitego!
Tumejiandaaga kwa muda ujue! Halafu nikwamba Kama sikuwa sahihi basi hata maelezo Yao ya Kodi hayako sahihi...
Ukiaambiwa hawajasahihisha usidhan tunawasingizia
Siwezi lalamika Kama sikuona mitego kiongzMtihani ulikuwa na mitego. Kama hukuiona ndio maana unalalamikia matokeo
Sikumbuki niliweka ngapi, but I remember it was so simple.Swali la calculations ulipata jibu gani, lile la tax and duties.
Jibu la swali umeshalisahau mwezi mmoja tu?Sikumbuki niliweka ngapi, but I remember it was so simple.
Baada ya calculation ya CIF, nikatafuta.. duties zile tatu na hakukuwa na shida labda wao ndo hawakuelewa swali
Mtihani nimeufanya, tuliopata kuanzia 70 sidhani kama tunafika hata 40 kati ya watu 14,000. Sijafuatilia sana sababu namba yangu ipo page ya kwanza, pages nyingine mia ngapi sina hakika wameita kuanzia alama zipi. Ila naambiwa kuna zero kama kumi hivi.Siwezi lalamika Kama sikuona mitego kiongz
Hakuna mtego niliacha..
CIF ya lile swali uliipataje. Tuanzie hapo, usinipe actual numbers. Nipe njia uliyotumia kuipata CIFSikumbuki niliweka ngapi, but I remember it was so simple.
Baada ya calculation ya CIF, nikatafuta.. duties zile tatu na hakukuwa na shida labda wao ndo hawakuelewa swali
Kweli kabisaHuo mgawanyo uangalie!! Kadili watu wanavyofeli ndo wanazidi kufanana
Vat nilipata 23.7m kama sikosei mkuu.Swali la calculations ulipata jibu gani, lile la tax and duties.
Aisee!!Mtihani nimeufanya, tuliopata kuanzia 70 sidhani kama tunafika hata 40 kati ya watu 14,000. Sijafuatilia sana sababu namba yangu ipo page ya kwanza, pages nyingine mia ngapi sina hakika wameita kuanzia alama zipi. Ila naambiwa kuna zero kama kumi hivi.
Marks nilizojua nitapata nimekosa mbili kuzifikisha, nina historia ya kuwa accurate kukadiria marks nitakazopata kama swali sina hakika sihesabii, kama sijui sijui, sina kubahatisha na nikitoka nahakiki na wale top cream kichwani.
Tuliopata alama za juu tunakwambia mtihani ulikuwa na mitego, uliyepata chache unadai mitego haikuwepo.
Na mtihani wa Customs haukuvuja, sijaona aliyekuwa anastahili akilalamika. Wanaolalamika ni wale hata tukijadili kitu hawajui, solvings wanakariri badala waelewe, wanalalamikia kutokuwa na calculation swali nyanya lile kuzidisha % za mamilioni yaliyo kamilifu. Mtu % ya 105,000,000 analalamika hana calculator.
Hahahaha wanazingua hao mana kama had leo majib bado hata yakitoka utaenda kujaza nin mda umeisha....tupambanie utumish tu no wayAppeal vp
VAT nilipata around 20M na total taxes nilipata around 100M ila nilionyesha njia clear pembeni. Hilo swali lilikuwa na majibu tofauti sababu ya kutokuwa na calculator ukikaribisha mwanzoni baadae unapata majibu tofauti, ukitaka kufanya to decimal point huna muda, ndio maana wengi tukatofautiana.Vat nilipata 23.7m kama sikosei mkuu.
Kuna sijui nini kile kingine nilipata 95m.
Sio rahis kukumbuka namba za majibuJibu la swali umeshalisahau mwezi mmoja tu?