Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Attachments

  • Screenshot_20250505-132321.png
    Screenshot_20250505-132321.png
    1.4 MB · Views: 11
Nilitoa hapa kweny Tangazo lao la mwanzo
Hilo bango la mwaka 70 mkuu..
ndo mana hata matokeo wamesema hapo tar 25 april ( unajua hawakutoa na wakatangaza tar 26-wakatoa usiku saa sita na dak 1 -ilikuwa tar 27 basi kabisa kama unaenda kwa proper date record)
pili pitia tovuti yao wametoa mkeka mda tu..tarehe za practical etc naona zipo sawa hapo...wengine tunajifua kwenye tareh 12/13/14 uko APC Mbweni,,,(kuanzia jana tar 7 na leo tar 8-wametuma tu email of confirmation ya kwenda nayo oral kwa phase ya pili )
tuombee kheri..over.....
 
Hilo bango la mwaka 70 mkuu..
ndo mana hata matokeo wamesema hapo tar 25 april ( unajua hawakutoa na wakatangaza tar 26-wakatoa usiku saa sita na dak 1 -ilikuwa tar 27 basi kabisa kama unaenda kwa proper date record)
pili pitia tovuti yao wametoa mkeka mda tu..tarehe za practical etc naona zipo sawa hapo...wengine tunajifua kwenye tareh 12/13/14 uko APC Mbweni,,,(kuanzia jana tar 7 na leo tar 8-wametuma tu email of confirmation ya kwenda nayo oral kwa phase ya pili )
tuombee kheri..over.....
Heri ikawe kwenu wakuu..
Endelea kupmbna
Soma Law zile
Soma organization kwa ujumla ikoje
Kuanzia commissioner na wengine
Kila la kheri mkuu
 
Back
Top Bottom