Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Kuna kipindi nilifanya hizi paper,written nikapita,practical nilipita inshu ikaja kwenye oral,nafasi 5 watahiniwa 10,tukaambiwa kwenye hizo 5,2 za wadada na hapo kuna wadada 3,wakabakia masela 8 nafasi 3,mimi nilikosa ila nilipata Kazi kwa mmoja aliepata huku,hvyo nikaenda pata alipotokea yeye.,
Memo ilikua ya gender balance na siuwezo
 
Kuna kipindi nilifanya hizi paper,written nikapita,practical nilipita inshu ikaja kwenye oral,nafasi 5 watahiniwa 10,tukaambiwa kwenye hizo 5,2 za wadada na hapo kuna wadada 3,wakabakia masela 8 nafasi 3,mimi nilikosa ila nilipata Kazi kwa mmoja aliepata huku,hvyo nikaenda pata alipotokea yeye.,
Memo ilikua ya gender balance na siuwezo
Ajira za serikali sio dili sana bas tu
 
Hukunielewa mi nimeangalia angel nyingi si hio ya idadi pekeake!

Lakn kweny idadi pia imeonekana kadiri flow inavyozid ndo idadi ya wanaofanana maksi inazid wakati kiuhalisia ni randomly selection!

Hio ukiichunguza sio randomly selection!! Ni Linear selection.

Unaenda inaongezeka kwa kushuka alama
Mkuu ni lini matokeo ya mtihani wowote Tanzania hii yakapungua idadi kadri unavyoshuka marks za chini?

Ni lini Div. 4 iliwahi kuwa na watu wachache kuliko Div. 1 au Div. 2 ikawa na watu wengi kuliko Div. 3?

Ili kwako isiwe ajabu, ulitaka hiyo unayoita linear selection iwe ni wenye marks nyingi ni wengi na wenye marks chache ni wengi?

Tuanzie hapa, unajua lengo la mtihani ni nini hasa unaokuwa unapima watu wenye vigezo sawa?
 
Mkuu ni lini matokeo ya mtihani wowote Tanzania hii yakapungua idadi kadri unavyoshuka marks za chini?

Ni lini Div. 4 iliwahi kuwa na watu wachache kuliko Div. 1 au Div. 2 ikawa na watu wengi kuliko Div. 3?

Ili kwako isiwe ajabu, ulitaka hiyo unayoita linear selection iwe ni wenye marks nyingi ni wengi na wenye marks chache ni wengi?

Tuanzie hapa, unajua lengo la mtihani ni nini hasa unaokuwa unapima watu wenye vigezo sawa?
Mi nilichokiwaza sicho unachowaza! Niliingia ndani ya Matokeo nikafany utafiti wangu binafsi na majibu nimekupa

Hilo na maksi nimelitazama kwa upana sijajifungia ndani ya Hilo boksi lako la kwamba kwakuwa watu wamefeli basi NO one care about them!

Nimeya analyse nilichokigundua ndicho hicho! Mi najua palipo na binadamu hakuna dizain ya hayo matokeo..

Kama umesoma tabia za binadamu! Hayupo hivyo.. there is no way watu wakawa na matokeo ya aina hio. Because we think differently and we see things differently.

Hakuna namna yote yakawa leaner yanaongezeka forward! Lazima hapo katikati watatokeo waliopata kadhaa wachache but not that way.

Think critical! Don't defend it kwakuwa umepangiwa au tayar una kazi, au labda wew ni mfanyakaz au my b you have deep believe in them..

Walichofanya ni scramble and partition (kuwagawanya tuu! Watoto wamaskini kidogo, na watoto wa matajiri wengi)

Ili mtu akilalamika ataambiwa "mbona flani kaitwa, itakuwa umefeli kweli"

That what always their doing..

Wanawaacha watu smart sana mtaani wanachagua vilaza.

They will cry one day
 
Mi nilichokiwaza sicho unachowaza! Niliingia ndani ya Matokeo nikafany utafiti wangu binafsi na majibu nimekupa

Hilo na maksi nimelitazama kwa upana sijajifungia ndani ya Hilo boksi lako la kwamba kwakuwa watu wamefeli basi NO one care about them!
Nilikuuliza maswali unayokwepa.

Waliofanya mtihani ni 14,000+ na marks zinazoshindaniwa ni 100%. Tengeneza scenario ambayo kila mtu atapata marks za kwake peke yake. Unaweza?

Au kama vipi nakuuliza tena, je unataka wenye zero wawe 140, wenye 1 wawe 140, wenye 2 wawe 140 hivyo hivyo mpaka wenye 100 wawe 140?

Matokeo yako ya Form Four na Form 6 yalikuwaje, mlikuwa na idadi sawa kila Division? Uliwahi lalamika kwanini Div.1 ni chache ila Div. 4 ni nyingi?
Nimeya analyse nilichokigundua ndicho hicho! Mi najua palipo na binadamu hakuna dizain ya hayo matokeo..

Kama umesoma tabia za binadamu! Hayupo hivyo.. there is no way watu wakawa na matokeo ya aina hio. Because we think differently and we see things differently.
Yes we think differently, nipo hapa nasubiria hiyo statistical scenario yako ambapo watu 14,000 watatofautiana marks ambazo ni 0% to 100% na pia wawe sawa kila group, wenye 10s wawe sawa na wenye 20s, 30s, .... 90s.
Hakuna namna yote yakawa leaner yanaongezeka forward! Lazima hapo katikati watatokeo waliopata kadhaa wachache but not that way.
Mtihani umefanyia wapi, nimefanya APC na nimeshuhudia watu wametoka Nairobi kikazi, watu wamejifungua hata hawajaweza kutembea vizuri, watu wametoka Mwanza private sector wanabanwa vibaya mno kazini hawajui hata topics za kupitia wamekuja kujaribu bahati.

Mtu anafanya kazi kampuni ya Logistics anafanya overtime kila siku anatoka saa nne usiku, hajawahi soma hata siku moja.
Mtu yupo anasubiri kuingia venue anapigiwa simu za kazi na anarespond. Do you expect hawa wote wapate marks sawa na wewe?

Think critical! Don't defend it kwakuwa umepangiwa au tayar una kazi, au labda wew ni mfanyakaz au my b you have deep believe in them..

Walichofanya ni scramble and partition (kuwagawanya tuu! Watoto wamaskini kidogo, na watoto wa matajiri wengi)
Kwamba kati ya watu 800 wote ina maana kila mtu ana connection sijui amenunua nafasi. Na unachomaanisha wewe una akili sana hivyo hukustahili kutoitwa? Kwamba waliopita ni vilaza tu ila wewe babkubwa wamekuonea kukuacha.
Ili mtu akilalamika ataambiwa "mbona flani kaitwa, itakuwa umefeli kweli"

That what always their doing..

Wanawaacha watu smart sana mtaani wanachagua vilaza.
Kwa mfano mkuu wewe unaamini una akili sana alafu mimi ni kilaza?
Hata kwa mwandiko, ujenzi wa hoja, mada tunazochangia humu jukwaani.
They will cry one day
Tatizo lako ni kudhani una akili sana. You are not special my brother, na hii nchi ina watu wengi hata uwe na akili hauko peke yako. TRA haiwezi lia kisa Addons hajaitwa Oral. Jipange tena nafasi zitatajwa kazi haziishi, mbona kuna watu wameenda Oral mara mbili hawajaitwa sasa ungekuwa wewe si ungevamia ofisi na kujilipua.
 
Nilikuuliza maswali unayokwepa.

Waliofanya mtihani ni 14,000+ na marks zinazoshindaniwa ni 100%. Tengeneza scenario ambayo kila mtu atapata marks za kwake peke yake. Unaweza?

Au kama vipi nakuuliza tena, je unataka wenye zero wawe 140, wenye 1 wawe 140, wenye 2 wawe 140 hivyo hivyo mpaka wenye 100 wawe 140?

Matokeo yako ya Form Four na Form 6 yalikuwaje, mlikuwa na idadi sawa kila Division? Uliwahi lalamika kwanini Div.1 ni chache ila Div. 4 ni nyingi?

Yes we think differently, nipo hapa nasubiria hiyo statistical scenario yako ambapo watu 14,000 watatofautiana marks ambazo ni 0% to 100% na pia wawe sawa kila group, wenye 10s wawe sawa na wenye 20s, 30s, .... 90s.

Mtihani umefanyia wapi, nimefanya APC na nimeshuhudia watu wametoka Nairobi kikazi, watu wamejifungua hata hawajaweza kutembea vizuri, watu wametoka Mwanza private sector wanabanwa vibaya mno kazini hawajui hata topics za kupitia wamekuja kujaribu bahati.

Mtu anafanya kazi kampuni ya Logistics anafanya overtime kila siku anatoka saa nne usiku, hajawahi soma hata siku moja.
Mtu yupo anasubiri kuingia venue anapigiwa simu za kazi na anarespond. Do you expect hawa wote wapate marks sawa na wewe?


Kwamba kati ya watu 800 wote ina maana kila mtu ana connection sijui amenunua nafasi. Na unachomaanisha wewe una akili sana hivyo hukustahili kutoitwa? Kwamba waliopita ni vilaza tu ila wewe babkubwa wamekuonea kukuacha.

Kwa mfano mkuu wewe unaamini una akili sana alafu mimi ni kilaza?
Hata kwa mwandiko, ujenzi wa hoja, mada tunazochangia humu jukwaani.

Tatizo lako ni kudhani una akili sana. You are not special my brother, na hii nchi ina watu wengi hata uwe na akili hauko peke yako. TRA haiwezi lia kisa Addons hajaitwa Oral. Jipange tena nafasi zitatajwa kazi haziishi, mbona kuna watu wameenda Oral mara mbili hawajaitwa sasa ungekuwa wewe si ungevamia ofisi na kujilipua.
Nyie ni watu wazima yaishe Jamani....ukurusa wa TRA thc year ushafungwa tusubr next time tu
 
Back
Top Bottom