ndechilio shoo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 997
- 365
kupata, cpa na wale wa law school wote wanaupendeo na rushwa tu hamna jipya
MaToKeo Ni MazUri nImeOna leo. TUmShuKurU Mungu SaNa. KamA yA kWako uJayaOna kUwa Na iMani kESho yataKuwa kwEne site.
Jamani mwenye taarifa yoyote kuhusu matokeo ya bodi ya ya uhasibu naomba atujuze jaman tuone tulichovuna .
asante.
WAdau Wa JukWaa naPendA kUwAkarIbiSha mmNipe Hongerq kwakuaaa niMefaNikiwa kUpaTa C.P.A bAadAya maTokeOyaLeo kuTokA viZuri.
Napokea zawadi kupitia TiGopEsa na mPesa. Ni pM kAma UnamoYo wAkuNiponGeza.
Napenda kuwataarifu kuwa orodha ya wanafunzi waliofaulu CPA imebandikwa kwenye mbao za matangazo NBAA na matokeo kamili yatakuwa yamewekwa kwenye web kufikia kesho asubuhi.Hongereni kwa mliofaulu na wale ambao hamjafaulu msikate tamaa.
Nawasilisha
Hongera sana kabanga.Party wapi?
Niko nje ya Dar kwa sasa ila marries home jmosi, na jpili tutakuwa na tafrija ndogo nyumbani, karibu sana Honey Faith....
Halafu mie sitaniwagi atiii???Jumapili lazima nifike kwako.......🙁
Na mimi huwa sitanii, ujiandae kula mbuzi....
Ok poa nitahudhuria
Hongera rafiki yangu, nami Leo ni mmoja waliopata CPA kwa Matokeo yaliyotoka Leo....
Jamani alieweza kudownload matokeo ya intermediate level please upload the file maana sasa hivi inakataa kudownload from NBAA website
Daaa! Kumbe ni kwa wote! Nimejaribu mpaka nimechoka. I hope after few days yatawezapatikana. Thanks for the info ndugu.Intermediate inazngua Mkuu, sidhani kama kuna mtu ameyaona