Matokeo ya NBAA yametoka

Matokeo ya NBAA yametoka

Karibuni sana kwenye professional ya uhasibu.muhimu muwe waadilifu na wazalendo.
 
Intermediate stage wameanguka vibaya sana, final stage wao wamepiga fresh cheers to em' all

Intermediate stage umeyaonea wapi mkuu wakati ktk website hayafunguki na nbaa kwenye mbao za matangazo hawajabandika?
 
Intermediate stage umeyaonea wapi mkuu wakati ktk website hayafunguki na nbaa kwenye mbao za matangazo hawajabandika?
Nafikiri atakua ameangalia pale kwenye General Statistics, waliofanya ni 3,109 na waliopita ni 610. Wakati kwa final, waliofanya ni 2,021 na walipita ni 940.
 
WAdau Wa JukWaa naPendA kUwAkarIbiSha mmNipe Hongerq kwakuaaa niMefaNikiwa kUpaTa C.P.A bAadAya maTokeOyaLeo kuTokA viZuri.
Napokea zawadi kupitia TiGopEsa na mPesa. Ni pM kAma UnamoYo wAkuNiponGeza.

HONGERA SANA SMALL pDIDY, WELA WELA NAMI NIMEOSHA PIA, REAL MUNGU NI MWEMA, MBELE KWA MBELE KAKA KWENYE MA-OPPORTUNITIES
 
WAdau Wa JukWaa naPendA kUwAkarIbiSha mmNipe Hongerq kwakuaaa niMefaNikiwa kUpaTa C.P.A bAadAya maTokeOyaLeo kuTokA viZuri.
Napokea zawadi kupitia TiGopEsa na mPesa. Ni pM kAma UnamoYo wAkuNiponGeza.

Teh Teh Teh huu uandishi wako unanichekesha pamoja na ulicho kiandika!
Kweli wewe umepata CPA
 
WAdau Wa JukWaa naPendA kUwAkarIbiSha mmNipe Hongerq kwakuaaa niMefaNikiwa kUpaTa C.P.A bAadAya maTokeOyaLeo kuTokA viZuri.
Napokea zawadi kupitia TiGopEsa na mPesa. Ni pM kAma UnamoYo wAkuNiponGeza.

Hongera mkuu ...ila umepata C.P.A au umekuwa C.P.A maana uwa siwaelewi nyie!! Maana ya C.P.A ni nn?
All in all hongera mkuu.
 
Thanks God,
CPA(T),I won the battle,I won the fight, I won the war.

Zaiko, you are real professional, this is how it should be addressed!! Wafundishe na wengine, wanaosema 'nimepata CPA'

Hongera mkuu!!
 
Back
Top Bottom