Matokeo ya NACTE yametoka?

Matokeo ya NACTE yametoka?

Duuh!
Watu Wa NACTE Punguzeni Mshono Bhasi.
 
Leo tarehe 2 mwezi wa kumi,niko hapa chuo fulani dsm,wananiambia nacte hawajatoa majina mpaka sasa.
Kweli nacte ni wababaishaji na wanafanya kazi kwa mazoea
 
Back
Top Bottom