baba bora
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,500
- 1,096
Ndio ndioKwenu mbeya mkuu ??????
Ndio ndioKwenu mbeya mkuu ??????
Mbeyaaa umepataaa chuo ganiiiiiiMbeya huko
Mbona hata Degree unapata hapojamani naomba kuuliza kwa ualimu diploma kwa matokeo haya form six 2014 physics_E
chemistry_D
biology_C
je naweza kupata nafasi ualimu wa sayansi diploma?
Second round bado jombaaaa vuta subra kdogkwani NACTE Walisema wanatoa majina leo ya second round wakuu
Full mapressureeeSecond round bado jombaaaa vuta subra kdog
Ujaeleweka mkuuJaman mtu anisaidiw jnc ya kuwasiliana na Mtwara clinical medicine training center
Nahtaj kusaidiwa namna ya kuwasiliana na chuo cha Mtwara clinical medicine training centerUjaeleweka mkuu
Mmezipataje?Joining Instructions Za Dakawa Teachers College Tayar Zimetoka Na Mwisho Wa Kuripoti Ni 11/10/2017
tupia humu tuichekiJoining Instructions Za Dakawa Teachers College Tayar Zimetoka Na Mwisho Wa Kuripoti Ni 11/10/2017
Hongeraaaa jaman hv vyuo vingine bwanaaaaJoining Instructions Za Dakawa Teachers College Tayar Zimetoka Na Mwisho Wa Kuripoti Ni 11/10/2017
Ingiaaa kwenye profile yaooo uchukue namba uwapigieeeeeNahtaj kusaidiwa namna ya kuwasiliana na chuo cha Mtwara clinical medicine training center
jamaa ivi second round bado auIngiaaa kwenye profile yaooo uchukue namba uwapigieeeee
Badonaombeni kujua kama nacte wameshatoa second round selection