richard77
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 314
- 376
ukitaka kufaulu kwa huku inakubidi ufanye kazi kwa vitendo saana, na usome sana. ndo utatoboa,.Kumbe na nyie mna same system?
Sasa na mbona huko hawafaulu sana mana hamna tofauti na LST unafikiri tatizo ni walimu ama wanafunzi??