Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!

Ndio mana naskia ili upate disco ni lazima upate F tatu full suit yani kwa masomo 5 ambayo ni yale core...na ukicheki yote ni yale mtu kashasoma undergraduate ambayo ni Criminal Civil , Conveyancing(land) , Probate sasa hapo kweli utasema ni mwalimu...
Mi ninakataa mpaka mwisho kwa wanaodisco ila kwenye supp nakiri kuna uzembe mkubwa ktk markin hasa kwa Commercial
Stanley nisaidie vitabu au manuals za vya Conveyancing, commercial, accounting for lawyers, professional conduct and ethics
 
We naona law school huijui waulize wanaosaupuaga kila pepa kua kwenye zile form unaambiwa ujaze ni sitting ya ngap...sasa kama umeshasapu mara kumi bila mafanikio sasa unajaribu mara ya 11 utaandika 1st sitting sio 11th sitting? /11th supplementary si ndio?

Ndo mana ukichomoka mara ya kwanza bila sapu wanasema umetoboa kwenye first sitting...

Unajua nyie ndo wale much know unabisha ili uonekane unajua ilihali i know nothin even nothin itself....
Calm down! Comment yako ya msingi ndio inayopotosha, ulipodai "second sitting huwa wanafaulu wengi", sasa ni matokeo gani huwa yakitoka yanaonesha hawa ni second or third sitting?
 
Mimi ninafanya kazi hapo na mwalimu mmoja amelazimishwa kujiuzulu kutokana na matokeo hayo alipata msala wa kukamatwa akibadilisha max kwa wanafunzi wachache aliyokuwa na list ya namba zao kwenye diary sasa kuna wengine wameachwwa wakati wao ndio Wana madudu zaidi ya hayo wako wskiume wanne na wa kike wawili tutakapompa Waziri ushahidi tutaweka hadharani pia
Hivi vijiprofesa uchwara vinatia huruma teh teh...

Hizi fikra za kubinya ufaulu wa wanafunzi huwa wanazitoa wapi?? I mean kuna malengo gani hasa ya kuzuia watu wafaulu???

Ni fikra mgando? ulimbukeni? ulafi wa elimu? ushamba? au a long term and calculated agenda??

22 out of 500 ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa... katu katu!!

Watu 500 haiwezekani wawe hawana ufahamu wa kuelewa Criminal Law!!!

Noo!!!!!!!
 
Acheni kulalamika jamani someni. Hakuna tatizo lolote kwa walimu tusiwasingizie. Mimi nimesoma law school and am now an advocate. Law school sio mchezo jamani, unatakiwa usome kwelikweli. Mimi sikufaulu at the first seat nilikuwa na masap yangu kibao lakini nilipambana mpaka mwisho wa siku nikatoka. Actually it took me two years until i bacame advocate. So kwa wale ambao mnasuplimentary jihesabuni mpaka hapo mlipofika you are winners yaani nyinyi tayari mmeshafaulu, ninacho washauri kwa sasa ni msikate tamaa hata kama unasap kumi make sure kwamba kila wanapotoa ratiba ya kufanya mitihani we nenda kafanye sap zako yaani dont stop until you finish them. Usiseme napumzika sijui nimechoka, utashangaa unasahau vitu, na utakuwa unaona tu wenzio wanaapishwa wee bado hujaclear sup zako. Nawatakia kila laheri, just take courage and go. On my side I never complained. I just took my books and went on studying. Right now I love my job and am enjoying what am doing.
Umeongea vizuri sana kuhusiana na supp ambayo ni ishu ya kawaida sana..

Vp mkuu wale ambao wanaDISCO eti wameonewa na walimu ama inakuaje?
Yani ile disco ya kupata Fs za kutosha kwenye zile core subjects ni uonevu wa walimu ama wanafunzi wazembe?
 
Nadhani niekuwekea hapa evidence kuwa wanapoomba re marking wengi wanafaulu. Usikatae kuna tatizo!
Remarking u mean appeal?
Mbona wanakuambia kuliko ufanye appeal ya matokeo yako law school bora ufanye sapu tu mana appeal hazisaidii...

Kuna binti mmoja tulikua nae cohort moja alikua kama john kisomo fulani hivi sasa matokeo kutoka nahisi kadisco akawa anaficha ficha mwanzoni ile...sasa kila nikienda kufatilia cheti namkuta anahangaikia appeal yake anasema anaambiwa haijasikililizwa bado sijui kamati haijakutana blah blah

Sijui kesi yake imefika wapi mpk leo...so bora ufanye supp kuliko yo remarkin(appeal)
 
Wakili mtarajiwa unaandika kama reseater! Vyuo vya Kata shida tupu.
Law School.
Mkuu naona umejulia simu ukubwani...
Huu uandishi wa kwenye comments ama social networks ama text messages tunakua very infromal...hatuandiki kwa kirefu in a formal way....
So dont get twisted!
 
MANUAL ON LAND LAW AND CONVEYANCING IN TANZANIA: Ndiyo hiki?
Hiyo ndo Manual ila kwa sasa wameigawanya mara mbili kwenye Land Law na Conveyancing...yani wameandika vitabu viwili kutoka kwenye iyo manual
Cha kwanza ni THEORETICAL FOUNDATIONS OF LAND LAW IN TANZANIA

Cha pili ni THE LAW ON LAND DISPOSITION AND CONVEYANCING IN TANZANIA ambacho aliniambia personally miezi kadhaa iliyopita kua kipo mbioni kutoka so by now yawezekana kimeshatoka...
 
Stanley nisaidie vitabu au manuals za vya Conveyancing, commercial, accounting for lawyers, professional conduct and ethics
Mkuu kiukweli sina soft copies ila kwa Conveyancing ukiwa na manual ya Mramba umemaliza...
Accounting for lawyers sipo interested nayo ila nilionaga pale Law Africa shop kuna vitabu vizuri vya Accounting for lawyers...

Pro conduct na ethics naona wanapendekeza usome kile cha Judge Twaib ila mimi binafsi nakushauri soma hichi cha THE IDEAL LAWYER cha AMBROSE OTIENO WEDA, Esq naona ni kizuri zaidi kushinda cha Judge Twaibu ila either way u cant go wrong....

Vitabu vyote ivo vinapatikana duka la Law Africa Tanzania pale Dar Free Market kama upo dar nenda pale wanauza bei nzuri kushinda maduka mengine mana wale ndo publishers
 
Calm down! Comment yako ya msingi ndio inayopotosha, ulipodai "second sitting huwa wanafaulu wengi", sasa ni matokeo gani huwa yakitoka yanaonesha hawa ni second or third sitting?
Wapi nimesema 2nd sitting wanafaulu wengi?
Ila btw wengi wanaoapishwaga ni watu wa supp kushinda wale wa first sitting...
Mfano mwaka jana waliapishwa kama 250 hivi amini kua watu wa first sitting hawakuzidi hata 40...

So usichanganye madesa utapata supp ya JF
 
Mimi ninafanya kazi hapo na mwalimu mmoja amelazimishwa kujiuzulu kutokana na matokeo hayo alipata msala wa kukamatwa akibadilisha max kwa wanafunzi wachache aliyokuwa na list ya namba zao kwenye diary sasa kuna wengine wameachwwa wakati wao ndio Wana madudu zaidi ya hayo wako wskiume wanne na wa kike wawili tutakapompa Waziri ushahidi tutaweka hadharani pia
Yani unafanya kazi hapo halafu unaenda kumpa waziri ushahidi? Ag principal Lukumay amesemaje? Mana yule mmasai naona anawanyoosha siku izi..
Kwanini msingeripoti kwa Mkuu wa Taasisi ?

Then ni mwalimu wa somo gani ili tupate clue ee lengo lako si kufichua maovu then mwaga data hapa otherwise jipange uchomoe vimeo vyako kama hujadisco....
 
Back
Top Bottom