Matokeo Ya Kidato Cha Sita ACSEE 2017/2018

Matokeo Ya Kidato Cha Sita ACSEE 2017/2018

samahani na hawa graduate waliokosa ajira nao tuwashauri lip...
hao wanajichelewesha wenyewe tu. Waende wakapate kozi za uganga wa kienyeji watatoka tu. Pia kuna fursa nyingine makanisani, waanze kuhubiri dini tu
 
hao wanajichelewesha wenyewe tu. Waende wakapate kozi za uganga wa kienyeji watatoka tu. Pia kuna fursa nyingine makanisani, waanze kuhubiri dini tu
ahaaa ahaaa umenikumbusha jamaa mmja nasikia naye mchungaj wakat miaka 2 iliyopita alikuwa mlevi hatari mhhh mwenyezi mungu si wa sport
 
ahaaa ahaaa umenikumbusha jamaa mmja nasikia naye mchungaj wakat miaka 2 iliyopita alikuwa mlevi hatari mhhh mwenyezi mungu si wa sport
hahaaa. inaitwa fursa kwa wote
 
walipokuwa masomoni nataka nianze na mshaara wa lak 9 sahiv wapo teyali kujitolea😀😀
Siku hizi unaambia mashirikana sekta binafsi zinazotoa nafasi za kujitolea ni dili sana. ukitoa tangazo mara moja maombi ya kujiunga kibao. Wasomi wengi wanaogopa kwena kijijini kulima, wanaona ni kudhalilisha elimu zao
 
Siku hizi unaambia mashirikana sekta binafsi zinazotoa nafasi za kujitolea ni dili sana. ukitoa tangazo mara moja maombi ya kujiunga kibao. Wasomi wengi wanaogopa kwena kijijini kulima, wanaona ni kudhalilisha elimu zao
ahaaa ajira hamna so ni mwendo wa kujitolea yan unakuwa cheap labour badala ya skilled labour
 
Naomba kufahamishwa hili LA madaraja ya ufaulu advance yakoje Kwa sawa wakuu

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
ahaaa ajira hamna so ni mwendo wa kujitolea yan unakuwa cheap labour badala ya skilled labour
cheap labor vs skilled labor.. hahaaaa. Inafikia hatua mchoma mikaaau mpika gongo anakuwa more skilled than mwenye degree. Mchoma mikaa na mpoka gongo wanatumia skills kufanikisha kazi zao, ni skilled labour hao. Lakini graduate na vyeti vyake anaenda kujitolea kufanya kazi, anakuwa ni cheap labour tu
 
Mimi binafsi nmekuja kugundua kitu kimoja,mfumo wa maisha wa nchi zetu hizi una athari kubwa sana kwenye maisha yetu. Namaanisha kwamba sidhani kama kuna familia itamruhusu kijana wao afanye mambo mengine badala ya kwenda chuo kikuu hata kama ni biashara zinazoeleweka, watakomaa tu uende ukasome mara ooh hivi mara vile na watakuja na mifano kibao ya walio jaribu kufanya kama unavyotaka kufanya wakaishia kushindwa na hili ni tatizo kubwa sana. Binafs nmeshakutana nalo hili.
Ushauri kwa madogo kama wewe unapenda kwenda chuo na Mungu akakujalia kupata nafasi ya kwenda huko nenda ila uweke jambo moja kichwani " KUFIKA CHUO SIO KUTOBOA MAISHA" hivyo uende ukiwa na wazo kwamba unakwenda kuongeza maarifa tu mengineyo yatakuja kama ikiwa bahati yako na pia kama utakuwa na mishe unataka/unazifanya fanya lakini ukijua kuwa kuna mawili kufanikiwa na kutokufanikiwa na hii itakusaidia kiakili wakati wa matokeo ya ukifanyacho/utakachoamua kufanya ili ukifika wakati usianze kujutia nafsi kwamba ni bora tu ungeendelea kusoma.
Maisha ni probability na yana matokeo matatu kwa lolote lile utakalofanya ama utatoboa au utabuma au utakuwemokuwemo tu hapo katikati hapo ambako ndiko wengi huwa.
 
Hamna Grade Mpya! Hizo Ni Tetesi
[HASHTAG]#Strugo[/HASHTAG]
 
From Accredited Source
Form Six Results Will Be Online On 14 July 2017.

My Take
Ukiona Una Div 2 Please Usiguse Hizi
Course Kwenye Hivi Vyuo

1. M.D - MUHAS
2. L.L.B - UDSM
3. PETROLEUM - UDSM
4. HSM - MZUMBE
5. .......?? Taja Zingine

Sitaki Povuu!
Usiwatishe vijana wewe hamna kitu kama hicho!!
 
SUA hata wakati wa vyuo vikuu 2 walipokea hadi div 3 point 15, sembuse sasa?? Same swala mkopo ndo watu wajipange
Yaaap! SUA ndiyo Mkombozi kwa PCB,PCM,CBG,PGM,EGM wenye III_II Kama hutaki ushindani wa vyuo Nenda SUA na viambatisho vyote Wanakuhakikishia Udahili siku hiyo hiyo.Nakumbuka 2008/2009 baada ya kujipima nikaona bora nijisalimishe.Hadi sasa kuna vipanga wa Walioenda UDSM,MUHAS,UDOM wanasaga soli na kumaliza bahasha za kaki (.....nimesoma UD....,Muhimbili)

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Tanzania hakuna chuo bora..kuna bora chuo tu....huo ulimbukeni wakujipa sifa za kijinga ndio unaotu-cost na kutu-affect vijana....Atakae faulu mshauri asome kitu anachokipenda na ajue tu...'University is not a teaching institution, It's a learning institution'....Hii niliambiwa na Prof. mmoja kutoka America alkuwa anafanya research...sasa nimeelewa maana vizuri baada ya kumaliza chuo...Tuache kushabikia upuuzi hivi vyuo vyetu ni bora wamalize tu...waambieni madogo wasome wanachokipenda na wadownload material kwenye torrent sites...wataweza kushindana kwenye hili soko la ajira...[HASHTAG]#mpaka[/HASHTAG] 2025Tutanyooka
 
Back
Top Bottom