De Zephano
Member
- May 27, 2015
- 28
- 4
Heb we ulipata ngap maana kiherehere ukute ulipata 3 tena ya kubebwa mfyuuuuuNa form six wa mwaka huu walivyokua vilaza...lazima ufaulu umeshuka.
Wazee wa gpa
Heb we ulipata ngap maana kiherehere ukute ulipata 3 tena ya kubebwa mfyuuuuuNa form six wa mwaka huu walivyokua vilaza...lazima ufaulu umeshuka.
Wazee wa gpa
Kwa kuwa vina nini? ???Ushauri wa bure kwa wahitimu watakao kuwa na div 2 & 3 Waombe vyuo vingine..
UDSM, MZUMBE , SUA, ...hawatapata nafasi.
Petrol mwaka huu wanaenda wenye four maana vipanga walihama baada ya kuona kazi yao ni kusimamia mauzo ya shellFrom Accredited Source
Form Six Results Will Be Online On 14 July 2017.
My Take
Ukiona Una Div 2 Please Usiguse Hizi
Course Kwenye Hivi Vyuo
1. M.D - MUHAS
2. L.L.B - UDSM
3. PETROLEUM - UDSM
4. HSM - MZUMBE
5. .......?? Taja Zingine
Sitaki Povuu!
Serikali ita deprofessionalize..Na form six wa mwaka huu walivyokua vilaza...lazima ufaulu umeshuka.
Wazee wa gpa
Wacha kuwatisha vijana... Kama una three ya 13 mpaka 15 ya PCB omba vizuri tu... Kozi kama aquaculture ya SUA wanachukua..! Udsm education unapata vizuri tu.! Tena Kama una 13 udsm unaweza kupata fisheries and aquaculture...Ushauri wa bure kwa wahitimu watakao kuwa na div 2 & 3 Waombe vyuo vingine..
UDSM, MZUMBE , SUA, ...hawatapata nafasi.
SUA hata wakati wa vyuo vikuu 2 walipokea hadi div 3 point 15, sembuse sasa?? Same swala mkopo ndo watu wajipangeUshauri wa bure kwa wahitimu watakao kuwa na div 2 & 3 Waombe vyuo vingine..
UDSM, MZUMBE , SUA, ...hawatapata nafasi.
DuuuhhHizo Petrolium unataka kufanya kazi uarabuni
Msiseme hatukuwatahadharisha...SUA hata wakati wa vyuo vikuu 2 walipokea hadi div 3 point 15, sembuse sasa?? Same swala mkopo ndo watu wajipange
hao wakaokote chupa majalalanina div 0 nao mbna umewatenga...