Inaonyeha nji hii wasomaji tangu kuzaliwa kwa tanganyika wapo mikoa ya kilimanjaro,kagera na mbeya na na wakuja kutoka mikoa hiyo wanaoishi Dar esalaam. Tanga wao ni Baikoko tu, kanda ya kati wao ni kushabikia chama tawala,kusini wao ni kun'gang'ana gesi watumie peke yao.