Matokeo ya Kidato cha Pili 2012, Shule zakosa wanafunzi wa kidato cha TATU 2013!

tusubiri tena watu kuruhusiwa kuingia kidato cha tatu kwa wastani wa 15 na waziri kujinasibu kwamba kiwango cha ufaulu kimepanda. Aibu kubwa hii mwisho wake ni kuwalipa mishahara mizuri walimu. Otherwise kila mwaka kiwango cha ufaulu kitazidi kushuka.

Tulidai kuwa shule zitakosa wanafunzi sasa mbona ufaulu umeongezeka kwa asilimia 19 ikilinganishwa na mwaka jana. Kweli nimeamini Watu wa wizara ya elimu hawana haya, wakati wa usahihishaji yale masifuri baadhi ya vituo aliyekuwa na alma nyingi anapata chini ya 10 sasa kama wanatakiwa wewe na wastani wa 30 ulifikaje? Ama kweli hapa ni mserereko kila kitu
 
Utabiri umetimia, kama Kidato cha Pili wanapiga mweleka sana, cha ajabu hapa ni nini?
 
Back
Top Bottom