njundelekajo
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 310
- 227
Hilo sio swali ndu
tusubiri tena watu kuruhusiwa kuingia kidato cha tatu kwa wastani wa 15 na waziri kujinasibu kwamba kiwango cha ufaulu kimepanda. Aibu kubwa hii mwisho wake ni kuwalipa mishahara mizuri walimu. Otherwise kila mwaka kiwango cha ufaulu kitazidi kushuka.