Matokeo ya Kidato cha Pili 2012, Shule zakosa wanafunzi wa kidato cha TATU 2013!

Ndg jf,
mm naona visbabishi ya kufeli kw wanafunzi mitihan ni vingi mno, baadhi ni;
1.migomo ya walimu
2. impact ya tuition zinazofundishwa na walimu wasio na sifa yaan non professsionals
3.mazingira magumu ya wanafunz kujifunzia eg hakuna vitabu, shule hazina walimu na waliopo wameshakat tamaa
4.utandawaz eg, cmu, internets,
5.kushamiri kwa mitandao ya ngono mashuleni aidha baina ya wanafunz kwa wanafunz au wanafunz na walimu
6.mitaala ya ajabu ajabu inayobadilikabadilika kama misimu ya majira ktk mwaka
7.mifumo ya maudhi katka utungaji na usahihishaji ya mitihani.
note
serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi haina malengo yoyote la kiukomboz ktk suala hili kwan co juz wala jana madhara ya hayo niloorodhesha hapo juu yameonekan lkn hakuna hatua zozote ZILIZOCHUKULIWA zaidi wahucka wanapga tu miayo na propaganda zao za kisiasa
 
Ndg jf,
mm naona visbabishi ya kufeli kw wanafunzi mitihan ni vingi mno, baadhi ni;
1.migomo ya walimu
2. impact ya tuition zinazofundishwa na walimu wasio na sifa yaan non professsionals
3.mazingira magumu ya wanafunz kujifunzia eg hakuna vitabu, shule hazina walimu na waliopo wameshakat tamaa
4.utandawaz eg, cmu, internets,
5.kushamiri kwa mitandao ya ngono mashuleni aidha baina ya wanafunz kwa wanafunz au wanafunz na walimu
6.mitaala ya ajabu ajabu inayobadilikabadilika kama misimu ya majira ktk mwaka
7.mifumo ya maudhi katka utungaji na usahihishaji ya mitihani.
note
serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi haina malengo yoyote la kiukomboz ktk suala hili kwan co juz wala jana madhara ya hayo niloorodhesha hapo juu yameonekan lkn hakuna hatua zozote ZILIZOCHUKULIWA zaidi wahucka wanapga tu miayo na propaganda zao za kisiasa

Great thinker! U are right kaka! Thanks! everyone has to take part in this disaster!
 
Kwetu rufiji sijui itakuaje,ila serikali shikilieni wastani huohuo mwakani watasoma tu.hawakutaka kuamini kama kuna wastani kweli.lakini watakaofeli itakua fundisho kwa watakao kuja.
 
Mkuu hippocratessocrates hapo umeleta neno la maana sana, Bila ya Msingi hapana nyumba, Shule ZETU za msingi ni usanii mtupu, walimu wengi hawana Content ya masomo wanayofundisha! tukiimarisha Msingi naamini mambo yatakaa sawa!

Ni vigumu kwa Walimu kuwa bora ikiwa kama walifundishwa mbinu za kufundishia. Walimu walifundishwa mbinu za kufundishia, ili hali walifeli nadharia (content).
Bahati mbaya zaidi kila Serikali, kila Waziri Wa Elimu huibaka elimu yetu bila ya utetezi wowote. Taifa linaangamia.
 
Malaika akizeeka ankuwa shetani kama CCM na madarka, Walikaba na kubaka Elimu yetu na ssa hatujui kam elimu yetu iko salama au imeathirika AIDS, hatujui twende wapi tukapate vipimo sahihi kujua usalama wake, kwani tulianza na MUngai mkabaji, na waliofuata walibaka elimu na ssa Kawamba anamalizia kuiwamba mmmmhhhh
 
eti tuition? lindi, rufiji, ileje, chita kuna tuition? uhaba wa waalimu na vifaa ndio visababishi vikubwa.
 
Eti form 6 anakuwa mwalimu bila teaching methodologies. Upuuzi kabisa

mkuu labda nikujulishe kitu huwa form six leavers kwa kipindi hiki ndo wachapakazi wazuri kuliko hao unaowasema wanateaching methodology na ushahidi ninao wa kutosha,mm nimekuwa nikifundisha kama temporary teacher somo la mathematics na geography na matokeo ya vijana yalitoka vzr kuliko wale profesional wanaofundisha masoma km civics n.k kwahiyo mjomba mfumo ndo mbovu wala c form six.
 
Kuna taarifa kutoka kwa wasahihishaji wa mtihani wa kidato cha pili wa mwaka 2012 kuwa HALI NI MBAYA SANA na kuna shule huenda zikakosa kabisa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tatu kwa mwaka 2013! Taarifa zinaeleza kuwa wakati wastani wa kufaulu ni Alama 30, shule kwa Kanda ya Kusini-Lindi na Mtwara wanafunzi wake wameshindwa kabisa kufikisha wastani huo na wengi wao wameishia wastani wa 10 hadi 15! Ikumbukwe kuwa kuanzia mwaka 2012 wanafunzi watakaoshindwa kufikisha wastani wa alama 30 hatawaruhisiwa kuendelea kidato cha tatu bali watatakiwa kukariri kidato cha pili! Matokea ni mabaya sana, lakini swali la kujiuliza ni kuwa TATIZO LIKO WAPI?

Huo ni mwanzo tu bado sana na huu mgomo baridi usipime maana yake tangu serikali kusitisha mgomo wa walimu kwa ubabe 21 - 1 = 2 upo hapo? Tunasubiri form IV wenye flat D waende form V
 
kwa stahili ndio maana hata wanafunzi tunaoletewa hapa kwenye vyuo vya ualimu ni wizi mtupu kwani hawa wanachuo hawafanani na kidato cha sita hadi huwa najiuliza hawa kweli wamepita kidato cha sita au
 
Serikali ikishindwa kupata lesson shaurilako,there is a problem!Asasi nyingi zimefanya tafiti zinasema kiwango cha elimu kinashuka,action ipi mmechukua ili muongeze ufaulu? au ndio bora elimu,mwisho siku ndio haohao wanakosa ufanisi,migomo makazini alafu mnawafukuza mavyuoni na makazini.That is stupid
 
Et watoto tu hawasomi!!!

1. wasome nini?

2. katka mazingira gan?

3. Wakiwa na mudi gan?

4.Nan anwasidia?

5. nini maana na 7bu za malez mashuleni?

6.watasomaje wakat saluni na vibanda vya kuchajia cmu ziko karibu na shule?

7.JE mabaamen/women watakaa na nan?

8.Boda boda vmpakie nani?

9. FIlamu za kinaigeria na za kanumba ziangaliwe na naN?

10. mikatitu na midombolo acheze nani?

NOTE
SERIKALI NA WADAU WA ELIMU, MADHEHEBU YA DINI, TAACC ZICZO ZA UMA IONEENI HURUMA KIZAZI HIKI KINACHOPOTEA KWA KUKUSUDIWA
 
Mwalimu nani akazane kufundisha toto la mtu wakati ye akipiga miayo class. Kama bidhaa za kichina vile unapata unamapene kidogo, kifaa cha saizi. Serikali iliwatosa walimu na kuwatelekeza mahakamani basi wanatoa kidogo kama wanavyopata.
 
Eti form 6 anakuwa mwalimu bila teaching methodologies. Upuuzi kabisa

Ni her hata huyu form 6 anaweza akasaidia kwan kwingine hakuna hata hao form 6. Wapo form 6 walifanya kaz nzur bila teaching methodologies na wapo pia walim kabisa na hawafuat teaching ethics
 
kuna taarifa kutoka kwa wasahihishaji wa mtihani wa kidato cha pili wa mwaka 2012 kuwa hali ni mbaya sana na kuna shule huenda zikakosa kabisa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tatu kwa mwaka 2013! Taarifa zinaeleza kuwa wakati wastani wa kufaulu ni alama 30, shule kwa kanda ya kusini-lindi na mtwara wanafunzi wake wameshindwa kabisa kufikisha wastani huo na wengi wao wameishia wastani wa 10 hadi 15! Ikumbukwe kuwa kuanzia mwaka 2012 wanafunzi watakaoshindwa kufikisha wastani wa alama 30 hatawaruhisiwa kuendelea kidato cha tatu bali watatakiwa kukariri kidato cha pili! Matokea ni mabaya sana, lakini swali la kujiuliza ni kuwa tatizo liko wapi?


tusubiri tena watu kuruhusiwa kuingia kidato cha tatu kwa wastani wa 15 na waziri kujinasibu kwamba kiwango cha ufaulu kimepanda. Aibu kubwa hii mwisho wake ni kuwalipa mishahara mizuri walimu. Otherwise kila mwaka kiwango cha ufaulu kitazidi kushuka.
 
Huku tuliko, tunaangalia "QUANTITY AND NOT QUALITY"

Subirieni kitakachojiri, very soon.
Kuna kazi nzuri inaendelea.
 
mkuu labda nikujulishe kitu huwa form six leavers kwa kipindi hiki ndo wachapakazi wazuri kuliko hao unaowasema wanateaching methodology na ushahidi ninao wa kutosha,mm nimekuwa nikifundisha kama temporary teacher somo la mathematics na geography na matokeo ya vijana yalitoka vzr kuliko wale profesional wanaofundisha masoma km civics n.k kwahiyo mjomba mfumo ndo mbovu wala c form six.


Ulifundisha kwa muda gani?
Na ni shule gani?
Sitaki kuamini kama ufaulu wao ulitokana na ufundishaji wako, afu masomo yenyewe ndo yaleyale (B/Mathematics na Geography)
Jaribu kuwa mkweli?
Tulio wengi humu ni watu wazima, swaga za ajabuajabu peleka kuleee FB.
 
Back
Top Bottom