tatizo la kibonde ni mropokaji wa kile asichokijua na tatizo la udsm ni madesa na kujifanya tunajua kila kitu wkt empty set
Hivi Tanzania hakuna sheria ya kuheshimu na kudhibiti data binafsi za watu? Ikiwa zipo ninashauri data hizo zisiwekwe hapa JF, isijekuwa jambo la kuichafulia JF jina lake.
Ikiwa Kibonde ni mpayukaji ahukumiwe kwa makosa yake, na ikiwa wapo walioathirika moja kwa moja na tabia za Kibonde waende mahakamani. Kuweka data zake hadharani kisheria (kama zipo) ni sawa na kujichukulia sheria mikononi.
leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
Kurunzi, tunaweza kumjadili yoyote kwa kadri tunavyotaka, lakini hili la disclosure his HIV status, ni kuvuka mipaka ya ki utu na ubinaadamu.
Pamoja na madhaifu yake yote, Epharaim Kibonde pia ni binadamu, mtukaneni mnavyoweza ila sio kufikia hatua za kumvunjia utu wake!.
Binadamu ni binadamu no matter what, anastahili heshima ya utu wake, dignity na his right to privacy.
Wale mnaendelea kumtukana naombeni msilikashifu jina la Kibonde, hilo sio jina lake bali ni la mzazi wake, yeye jina lake ni Ephraim. Msilikashifu jina la Kibonde ambaye ni baba mtu kwa makosa ya mwanae.
Nini cha ajabu kuhusu D mbili?. Si angalau ana Div IV ya point 28!. Hebu fikirieni ni wangapi wanaozungusha na Div Zero?. Ephraimu hapo amejitahidi sana. Ukifuatilia Divisheni za watangazaji wetu wengi utaishia kushangaa na ndipp mtamkubali heri hiyo Div IV yake tena nzuri ya angalau D mbili!.
Tukubali tukatae Ephraim is a star na amerise kwenye stardom kwa hizo hizo kauli zake mbofu mbofu na kinachoendelea sasa kila siku kumjadili, sio tuu kunazudi kumpandisha chati, bali pia ndio tunanpeleka kwenye utukufu zaidi na zaidi na kipindi chake cha Jahazi ndio top radio program kinachosikilizwa kuliko kipindi kingine chochote!.
Kwako ndugu yangu, rafiki yangu na mwenzangu Ephraim najua utasoma hapa, haya nilitakiwa kukuambia kwa mdomo tukionana, au nikupigie simu lakini namba yako nime i delite long ago.
Hakuna ubishi kuhusu kipaji chako as a comedian, utangazaji na good performance yako as an MC, kwa sasa uko juu sana!. Please please please!..its about time come down little by little, jishushe, be humble kwenye matamshi yako infront of mic.
Zingatia misemo hii:
"The hastly climbers have a sudden fall"
"Mpanda ngazi hushuka".
"Lenye mwanzo, lina mwisho"
"Anaye jidhania amesimana, na aangalie asianguke".
Just change before changes change you!.
Pasco
leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
Nafikiri Kibonde ni Mtangazaji BORA kwa sasa hivi Tanzania.
Mtangazaji ni lazima watu wakuongelee sana.
Haijalishi kwa mabaya au mazuri. Kibonde kila siku mnamtaja, duu!!! Jamaa kweli yuko juu.
Bahati mbaya/nzuri kijijini kwetu huku Sikonge, hii Radio haifiki.
Yo Yo mzima? Nilisikia Polisi wamekuweka Lumpango!!!! Polisi anamkamata SOULJah Boy???
Mtaongea yote lakini maswali mawili tu 1. kati yenu kuna anayejua au alifuatilia kujua mgogororo wa kibonde na wanafunzi wa vyuo vikuu nini chanzo? 2. Je aliyoyasema kibonde kuhusu wanafunzi wa vyuo vikuu yana ukweli au uongo kiasi gani?
WATANGAZAJI WOTE KAMA WALIVYO MAPOLISI NA WAALIMU, NI FALURES WA FORM FOUR NA SIX. Then wanakimbilia hii fani ndo mana inapoteza mwelekeo. Wachache sana wamejiendeleza na kukimbilia ughaibuni kama Charles Hilary, Majura majura, Flora Nducha, Sunday Shumari nk.... manake radio na TV za bongo zote vimeo na wajinga. Ukiwa mkali kitaaluma hauwezi kukaa sana.
Yupo wapi Tido wa TBC?? very sad kwa taaluma hii kuvamiwa na vimeo na masharouharo kama Kibonde.