epigenetics
JF-Expert Member
- May 25, 2008
- 269
- 80
Serikali tafadhali ingilia kati suala la Elimu Visiwani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini somo la hisabati watu hufeli sana, yaani asilimia 75.67 wamefeli?
Na kila mwaka hisabati huongoza kwa kuwa na wanafunzi wengi waliofanya vibaya! Why?
Kwanini somo la hisabati watu hufeli sana, yaani asilimia 75.67 wamefeli?
Na kila mwaka hisabati huongoza kwa kuwa na wanafunzi wengi waliofanya vibaya! Why?
Jamani,
Kuna mtu ana haya matokeo? Naomba ayaweke kwenye mtandao ili nasi tuweze kuyapata. Huko sipati kitu - na hii siyo mara ya kwanza, bila shaka server yao imeelemewa tena.
Ingekuwa bora kama webmaster wao angekuwa anaweka matokeo kwenye server mbalimbali (hasa za Marekani au hata na Ulaya) ili kuepuka matatizo ya bandwidth wakati Watanzania wanapotafuta matokeo haya kwa mpigo.
Nashukuru kwa msaada wenu.
Cliff
Umepata ufumbuzi gani? mi bado nahangaika, sijapata kitu...web ya NECTA naona imezidiwa....ebu nisaidie or kama vipi nataka matokeo ya St. Joseph Kilocha Seminary, Matola Seconday,Maghang Sec na Njombe Sec kama utaweza kuyaona hapo!Nimeshapata ufumbuzi. Website inafanya kazi sasa, na kwa msaada wa WinHTTrack nitawasaidia hata wakulima pale kijijini kwetu kupata matokeo.
Cliff
nipe no ya mwanafunzi
Umepata ufumbuzi gani? mi bado nahangaika, sijapata kitu...web ya NECTA naona imezidiwa....ebu nisaidie or kama vipi nataka matokeo ya St. Joseph Kilocha Seminary, Matola Seconday,Maghang Sec na Njombe Sec kama utaweza kuyaona hapo!
Cheers
...
Jamani mbona hakuna hata shule moja iliyoko katika kumi bora inayomilikiwa na Bakwata au shirika lolote la kiislam.Ukiangalia kwa makini shule nyingi zilizofanya vizuri ni za mashirika ya dini ya kikristo.
Hongereni St......seminary.
Hivi hizi shule zetu za kiislamu zilizoamua kujiita seminary mbona bado hazifanyi vizuri? Kulikuwa na force fulani kutoka wizarani kuziita seminari au hilo wimbi la kuongeza neno "seminary" lilitokana na nini hasa! Anyway, ni nje ya mada. Samahani wakuu. Pengine nitaianzishia thread yake.
Serikali tafadhali ingilia kati suala la Elimu Visiwani...
Unajuwa mimi sikupenda kabisa mpangilio wao walivyoweka maana wamechanganya sana herufi bora wangepanga kwa herufi ingekuwa vizuri zaidi maana wamechanganya alafu shule ni nyingi sana sasa kama shule ingekuwa inaanzia na M ilibidi mtu unakwenda kwenye M kama shule inaanzia na S mtu unakwenda kwenye S lakini sasa hapo kuipata shule nadhani utachukua 1 hour mpaka upate shule unayotafuta..........Sijui wenzangu mnasemaje hapo!!