Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,281
Dada shinda mwizi huyo, mahali pa wezi ni jela sio bungeni
Ni GS tafadhaliWOS - may God clear yr path! Tunakuombea
Ni GS tafadhali
umechakachua. ccm imechukua jimbo hilo
Nimeongea na Regia,Updates: CCM inaongoza by 7000+, regia ana kura 4500+; so far that is the situation sijui wapiga kura ni wangappi; kura hizi from Start TV
asante Max.
Mtumishi mi staki kucheka ujue niko nahesabu kura afu hesabu zinachenga kama kwa mchumi JK.Asante bht!
Mtumishi mi staki kucheka ujue niko nahesabu kura afu hesabu zinachenga kama kwa mchumi JK.
nachakachua for changes... At leastBila shaka uko ile idara ya uchakachuaji!
nachakachua for changes... At least
Which changes? Maana hata Makamba is vying for the same changes!