Elections 2010 Matokeo ya awali jimbo la Kilombero na matukio ya ajabu

Status
Not open for further replies.
Kilombero iko hoi kiuchumi hakuna maendeleo sasa kwanini bado mna wakumbati ccm!.mtaendelea kutembea kwenye barbara za vumbi mpaka yesu atakapo rudi. kataa ccm ile mageuzi yaje ktk nchi yetu
 
Tunashukuru kwa Taarifa mkuu.. wananchi tusikate tamaa, najua tumekesha lakini tuwe pamoja aisee.. Tusiamie kura zetu zitoke km zilivyotangazwa
 
haya matokeo ya awali yanatupa uchizi data zingine uzushi kama kyela jamani hata mjinga hujamdanganya, kilombero na morogoro kwa ujumla watu pia mnatupa changa la mcho, halafu babati napo pamechakachuliwa, au kunyata anyate kinyonga akinyata kicheche mwizi wa kuku, taarifa zinasema mdee naye amepigwa chini kawe , source daily news online, tuwe makini tusije kuchinjana mwaka huu.
 
jumla ya kata ni 23,CCM imepata kata16,CHADEMA imepata kata 2,zilizobaki CUF
 
Tunataka matokeo ya ubunge na urais ili tuone kama mwana JF mwenzetu amepeta.
 
Jana tuliambiwa Kilombero imechukuliwa na CHADEMA ebu tuache ushabiki jamani tutaj geuka jukwaa la udaku
 
Regia Mtea mbona ansahau huku ndo tunatakiwa kupata updates as early as possible!!!
 
wana jf mimi niko hapa ifakara mjini nikitoa ushabiki,ukweli ni kwamba kuna dalili kuwa CCM{MTEKETA} amepita,halafu kwa upande wa raisi mpka sasa JK anaongoza,kwani hayo matokeo ya kata nimeyasikia radio one:A S angry:
 
Habari za uhakika ni kwamba chadema wamechukua kilombero. Hongera mh. Regia Mtema.

Change is real!

Hongera GENDER SENSITIVE; ukienda mjengoni spirit ya JF ikuongoze kwenye uwakilishi wako!!
 
Wana Jf hali ya sintofahamu bado inaendelea hapa ifakara matokeo bado hayajatolewa hadi muda
huu.Uhakiki bado unaendelea zoezi ambalo linafanyika usiku kucha kwani masanduku ya kura
mengine yamefikishwa leo jioni.kuna harufu ya uchakachuaji.Matokeo rasmi yatapatikana kesho.
Regia Mtema bado ana nafasi ya kushinda.Baada ya huo uhakiki nitawajulisha.
 
Wana Jf hali ya sintofahamu bado inaendelea hapa ifakara matokeo bado hayajatolewa hadi muda
huu.Uhakiki bado unaendelea zoezi ambalo linafanyika usiku kucha kwani masanduku ya kura
mengine yamefikishwa leo jioni.kuna harufu ya uchakachuaji.Matokeo rasmi yatapatikana kesho.
Regia Mtema bado ana nafasi ya kushinda.Baada ya huo uhakiki nitawajulisha.

Kwanini wanakubali kuhakiki masanduku ya kura ambayo hawajui yamelala wapi? Ina maana timu ya wasimamizi wa kituo na mawakala wote hawajui kuhesabu? Hili swala la kukubali kuhesabu kura upya ndio inatoa mwanya wa kubambikiwa masanduku yenye kura zilizochakachuliwa.
 
Mkuu KEIL Geograph ya Kilombero ni tatizo wakati makao makuu ya wilaya ni Ifakara kuna vituo vipo zaidi ya kilomita 200 toka hapa wilayani.Miundo mbinu ni mgogoro hivyo sanduku la kura mpaka limfikie msimamizi wa uchaguzi ni wastani wa masaa 12.Hivyo kinachofanyika ni utaratibu wa kawaida katika uchaguzi ili kujiridhisha kwa pande zote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom