Wanabodi,
Hatimaye matokeo ya awali ya uchaguzi wa Arumeru Mashariki yameanza kutolewa na kuonyesha Chadema inaongoza na kuiacha CCM kwa mbali!.
kituo cha Nshapu 3 kata ya Nkoaranga Chadema 110- CCM 74
Kituo cha Ngarasero:
Chadema 116-CCM 51
Kituo AFP - CHADEMA - 141 CCM - 32
Majiyachai Chadema 130 CCM 53
Chadema 105 CCM 68
Chadema 115 CCM 42
Chadema 118 CCM 48
Mjimwema
Chadema 125 CCM35
Chadema 129 CCM 37
Usa River
Chadema 151 CCM 17
Kwa mujibu wa matangazo ya moja kwa moja ya ITV ya saa 12:00 yameonyesha Chadema kuongoza katika vituo vifuatavyo!.
NB: Matokeo haya ni ya awali tuu ambayo yanaonyesha nyota njema huonekana asubuhi ila wapenzi na mashabiki wa Chadema msianze kushangilia. Ya Busanda na Biharamulo Magharibi yananikumbusha kuwashauri mzianze kushangilia, uchaguzi ulishaisha leo ni uthibitisho tuu!.
wakuu nafatilia redio one ccm wameshindwa vibaya mpaka sasa ni 70/30Ni kweli amin mgeni(mliman tv) ametangaza live matokeo ya awali,nimeamua kujibu koz mtoa sredi hawamwamin so hata akijibu tena hautomuamin
Inaonyesha huyo mwanamke hapo nyuma yako amekushika saburi umeshtuka unaweweseka na kutaka kuzuia mvua isinyeshee magamba. Ha Ha Habari ndio hiyoUrongo mtupu CCM ndo inaongoza vituo 100 dhidi ya 30 iliyoongoza Cdm subirini matokeo hadi kituo bcha mwsh msije mkalia kwa maghorofa yenu kubomoka CCm tuko juu!
Si walisema waliojiandikisha ni 12700 basi hata kama waliopiga kura ni 80% basi wamtangaze Nassari mshindi kama hayo matokeo ni ya kweli
Ooohh.....it sounds threatening, ...time will tell, mwisho wa siku CCM kidedea!
matokeo yoote yaliyotolewa ni ya barabararani kwahiyo haisumbui kabisa . ngoja tusubirie huko vijijini sasa .
Mkuu! Upo UK ama TZ?
Matokeo toka kwa David Cameron.