MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
hii story inanikumbusha igunga.......... watu walianza hiviiiiiiiiiiiii badae ikageuka

the same with my beloved sis (RIP) regia... etc, hizi namba zikitolewa watu wanalegea, wanaishia kukata viuno halafu ndio GAME inaanza kuchezwa
 
Tuko pamoja. 2nafuatilia mchakato kwa karibu sana.asante kwa kutuupdate
 
True. Tafadhali msiunganishe angalau kwa leo. Inakuwa rahisi zaidi kufuatilia endapo kila eneo la uchaguzi (yaani Arumeru, Kirumba, Lizabon, Vijibweni, n.k.) yakawa na thread zao zinazojitegemea.

Wekeni tread moja tu ya uchaguzi wa arumeru mana kuna tread kama tano zinachanganya watu hapa
 
Lindeni kura hadi dk ya mwisho kale kamchezo ka Igunga kasirudiwe
Si unamaanisha ka kuzima gari mlimani halafu mawakala wanaambiwa wasukume linatimkia porini jamaa wanabadilisha masanduku fasta halafu linarudi kuwachukua mawakala huku uchakachuzi umeishafanyika. CDM hakuna kulala ni mapema sana kuanza kumdharau adui. Never rule out CCM kwani wana mbinu 400 za kuiba kura...
 
ITV Wanatoa matokeo ya kituo cha makumila chadema inaongoza
 
usa river sokon 1,2,3,4 cdm 403 ccm 142,
kisambare cdm 545 ccm 283
ngarasero cdm 433 ccm 242
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Katika chaguzi zilizo za haki na ukweli basi kwa mlolongo huu ni dhahiri tungesema kuwa Jamii Forums ina predict Joshua Nassari kuchakuliwa kuwa mbunge mpya wa Arumeru East na CCM kushika nafasi ya pili. Ila kwa kuwa Tanzania kila kitu chawezekana, hawa jamaa wa Tume kwa maelekezo ya CCM watapima upepo wakiona umetulia wanachafua hali ya hewa.

Na msishangae kuona matokeo yakicheleweshwa, wakidai computa imeshindwa kuhesabu! Mambo haya ipo siku yana mwisho!
 
Wakuu hakuna mwenye orodha ya vituo vyote watu wawe wanajaza tu!! Hii itafanya zoezi za kujumlisha matokeo liwe rahisi. CDM hizi ndiyo changamoto za kufanyia kazi kabla ya 2015.
 
Makumira A.Ccm 42,cdm 118,B.Ccm 42,cdm 100,C.Ccm 50,cdm 92,D.Ccm 40,cdm 68 Rejao nasikia yuko I.C.U.Magamba mmechokwa na watanzania mtajibebaje?
 
Makumira na Leganga Chadema inaongoza.
RIP MAGAMBA.
SOURCE. ITV
 
hii story inanikumbusha igunga.......... watu walianza hiviiiiiiiiiiiii badae ikageuka

the same with my beloved sis (RIP) regia... etc, hizi namba zikitolewa watu wanalegea, wanaishia kukata viuno halafu ndio GAME inaanza kuchezwa

Very right, ulinzi wa kura unahitajika zaidi.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom