MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
Mkuu wengine tunatumia mobile na inasumbua sana unapoanza kupost majina ya watu wanaofuatilia hii thread. Kama huna cha kufanya nenda chitchat.

thanks buddy........... na hakuna sababu ya kusema nani anaangalia hii thread, ni sawa na kuingilia other people's business
 
Makiba,Mbuguni,Kikwe huko ndio vijijini na chadema wanaongoza.
Ndio maana nikawauliza vijijini ni wapi? wasifikiri Meru ni kama Igunga hadi ukatize pori ndipo ufike kijiji kingine.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Urongo mtupu CCM ndo inaongoza vituo 100 dhidi ya 30 iliyoongoza Cdm subirini matokeo hadi kituo bcha mwsh msije mkalia kwa maghorofa yenu kubomoka CCm tuko juu!
 
Tukiyaweka tutapata BAN mkuu, ila vituo vingi sasa wanashinda CCM tena kwa tofauti kubwa mno. Hali si nzuri kwa CDM na kuna tetesi baadhi ya viongozi wao hawaonekani.

andaeni always au tp wanamagamba!Kaz mnayo.Maji ya chai A. ccm 53,cdm 130, ktuo B. ccm 68,cdm 105,C.Ccm 42,cdm 115,D.Ccm 58 cdm 118, E.Ccm 60 cdm 105. Habar ndo hyo.
 
ngoja nikapumzike kwanza ili nirudi baadaye...
 
Nipo kanisani nikiendelea kuyakemea magamba yashindwe kuiba,yashindwe magamba daima!
 
wazee wa magamba wataka kuchakachua kwa kuingiza kura zao vijana wakawatilia ngumu na wameingia kwa gia ya kuwaletea chakula mawakala kumbe kama kawaida yao
 
Nimeambiwa aibu kubwa Arumeru! Nimehakikishiwa no returning back! Peoples Powers ni zaidi ya jeshi!!
 
wadau mnaotuletea updates+mods hatuwezi kuwa na kajedwali kenye kata zote na kura anazopata kila mgombea ili iwe rahisi kufuatiliea? PIA WANAOSHANGILIA SASA BADO MAPEMA ZAWEZA KUJA KURA ZENYE TOFAUTI YA MAELFU MWISHO KAMA IGUNGA VILE tuendele kumba mungu awe upande wetu dhidi hao wezi+watukanaji..
 
Kuna zaidi ya vituo 300 na hadi sasa ni vituo kama 20 tu ndio matoke yametangazwa na vingi ni vya mjini, tuwe na subra.
Tunaomba amani idumishwe!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom