OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,242
- 103,937
kuna kundi la CCM limewekwa chini ya ulinzi na polisi likiwa na box la kura 1000...sosi ITV
Kwa kupata uhakika tunaomba matokeo yawekwe yote hata kama si mazuri kwa M4C tuweze kujua
Mkuu subiri hadi kata zingine zilete matokeo maana huko ndiyo shamba ya ccm!!
Jamani Vijijini.....
Jamaa kakataliwa hata alikozaliwa Akheri: 497' kwa 194
[/QUOTE Matokeo mengi hapa ni ya vijijini tusiwe na wasiwasi.
mods.....please dont take this as a shout to you..
TUNAOMBA MZIUNGANISHE HIZI THREADS ZA MATOKEO ILI TUWEZE KUFUATILIA VIZURI.
Hivi huko vijijini hakuna Jf members wakarusha matokeo? Hebu members waliopo huko watupe updates, Jf ni pana bana!!
wakuu nafatilia redio one ccm wameshindwa vibaya mpaka sasa ni 70/30Ni kweli amin mgeni(mliman tv) ametangaza live matokeo ya awali,nimeamua kujibu koz mtoa sredi hawamwamin so hata akijibu tena hautomuamin
hv jamani nchi hii bado kunawatu wengi bado wanaipigia ccm.
Mimi nataka ifike wakati cdm 150 ccm 2
kwanza mgombea mwenyewe hajipigii anataka apate toka wapi!?
Maji ya chai mnajipenda kweli???