MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
Mpaka sasa naweza sema Arusha nzima wako juu wanajua nini wanatakiwa kufanya
 
Haya sasa Renatus Mutabuzi anaripoti kutoka maji ya chai..
 
mkuu kuna mengine yanajirudia rudia, kwani wamekuwa watu tofauti wanapost matokeo hapa!! Unaweza kuta mtu kasikia redio fm, kweka, mwingine kasikia redio fm pia kaweka, hivyo usizubae na matoke ukapoteza muda kujumlisha

pamoja sana mkuu
asante kwa tahadhari mkuu niko makini naagalia majinaya vituo
 
kwa hatua ambayo matokeo yamefikia...come what may...!ccm wana kitu cha kujifunza
 
itv wanatangaza matokeo CDM Wanaongeza vituo vingi
 
ccm walikukuwa waataka kuingia kuza hewa
 
angalieni itv sasa hivi. wanaonyesha matokeo.
eto

Nishatune ITV,Renatus Mutabuzi yuko hewani na matokeo ya kata ya majani ya chai...CDM wanaongeza kwenye vituo vya kata hiyo kwa idadi kubwa ya kura, anasema wazee kadhaa wa CCM wamekamatwa na sanduku la kura 1000 wako police,Mungu atujalie
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom