MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
nahisi usingizi umekata, kama vipi msimamizi apasue jipu kwani the game is over. wanaharakati wenzangu tupo pamoja mpaka asubui mana tumechoka habari za magamba na sasa tumelivua na tumebakiwa nyama raini. hongereni wenzetu kwa kutupa habari. karl max anasema hivi "NO DEVELOPMENT WITHOUT CONFICT" hata mkipigwa mabomu mvumilie kwani ndio safari ya maendeleo ndugu zangu wa arumeru.
 
Wakuu, mpaka sasa tumebakiza kukusanya matokeo ya vituo vinne tu, narudi vituo si kata, vituo vya kupigia kura katika kata nne tofauti. Matokeo mpaka sasa yanasomeka hivi;

CHADEMA 32, 535
CCM 26, 296
AFP 131
DP 72
NRA 32
SAU 22
TLP 16
UPDP 22
 
Wakuu, mpaka sasa tumebakiza kukusanya matokeo ya vituo vinne tu, narudi vituo si kata, vituo vya kupigia kura katika kata nne tofauti. Matokeo mpaka sasa yanasomeka hivi;

CHADEMA 32, 535
CCM 26, 296
AFP 131
DP 72
NRA 32
SAU 22
TLP 16
UPDP 22

Pamoja sana mkuu, ushindi mnono, unakorera kusingo!
 
Du sasa hawa 2me teknolojia inawasaidiaje? jimbo moja mpaka sasa bado hawajamaliza kuhesabu wapigakura wenyewe hata laki moja hawafiki tume yote ipo huko. Hakika iko shida hapa
 
Chadema na viongozi wake ni chama makini cha kuaminika kwa watanzania,bravo chadema tunakupenda,tunakuheshmu na kukuhtaji katka maisha ya sasa na kizazi kijacho.Mungu wabariki na kuwalinda makamanda wote.Haki ni haki tu milele.
 
Saa ya Ukombozi imewadia, sasa operation sangara inabidi ibadili uelekeo kwa kujipanga kuingia mikoa ya Pwani,Lindi, Mtwara na Tanga kwa mashambulizi zaidi ili tukamilishe kanda zote.

Hongera kwa Kiwira na Mwanza kwa udiwani.

Aluta Kontinua, Viva CDM
 
Movement for change imetoa pigo la kwanza kwa CCM huko Kiwira, Songea na Mwanza. Na imewatandika CCM huko Arumeru East.

Tuahmie kwa Kibajaj sasa then kwa Mwigulu
 
Movement for change imetoa pigo la kwanza kwa CCM huko Kiwira, Songea na Mwanza. Na imewatandika CCM huko Arumeru East.

Tuahmie kwa Kibajaj sasa then kwa Mwigulu

Naunga mkono hoja, tuhamie kwa mwigulu, elimu yake ina walakini, kanyaga twemde.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom