Tunaomba more updates wadau mliopo eneo la tukio ,nasikia nasari ameshashinda lakini tume haitangazi na polisi wameshaanza kuleta vurugu kwa kupiga raia.......
Hii ndiyo ishatoka tena....sasa hivi dawa ni moja tuu....wakiangusha jimbo Lao tunabeba, ila sie tukiangusha tunaokota wenyewe... Zile za kuwadanganya wananchi na khanga na kuwaletea komedi umepitwa na wakati....
Wamebaki na matusi yao. Yawarudie wao na wake zao na watoto wao. Kila aliyefungua kinywa chake kutukana hadharani amedhihirisha ujinga wake mwenyewe na kuanzia leo matusi yale afuatane nayo popote atakapoenda hadi pale atakapotubu kwa Mungu na kwa watanzania wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.