Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Wazee ahsante kwa ushauri,
Ni hivi wazazi wake hawana uwezo asome nje ya Tz na pia ana wadogo zake nao wanasoma!
Yeye anasema somo alililiopenda zaidi ni Economics na pia alipata A. Je vipi mnashaurije akisoma Pure Ecomomics course BA (Econ.) say Mlimani? Then akaja kuwa Economist!
Au vipi akisoma BCOM ambapo pia ili awe na uwanja mpana zaidi ya Economics? Y
Je asome Laws?
Family background wazazi ni watu wa kipato kidogo: na anategemewa aje kuwasidia wadogo zake ili kuwapunguzia mzigo wazazi wake..na ndo maana alishauriwa achukue masomo ya Arts ili pengine apate kazi mapema ili aweze kuwasaidia wazazi na wadogo zake!
Tunaomba mawazo!
Mzalendo,
Nadhani huyo mwanafunzi ni binti, na nadhani kwa binti kupata A tatu si mchezo (mimi pamoja na kukesha na kusoma shule ya boarding sikupata B hata moja!). Naona ana bright future na ni vyema akaangalia ustaarabu nje ya Tanzania. Atakuwa more stronger and learnt.
Nakushauri ujaribu kuweza kumshauri ktk huu muelekeo.