PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 12,575
- 9,151
Saivi yuko wapi?BelindaJacob,
1. Nimemwambia nitamnunulia laptop..ni ahadi yangu lazima niitizime kabla hajanza chuo. Ndo anauliza asome nini?? ana A 3 ktk Econ, Hist. & Geog.
2. Pia O level alipata A 8..na alikuwa kati ya binti waliopewa zawadi na JK 2007.
Yaani kila mtu amefurahi..tangu wazazi, waalimu hadi majirani!