Matokeo darasa la nne yamechelewa sana

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania kesho tarehe 07/01/2024 atatangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili mwaka 2023. Matangazo hayo yatarushwa mubashara (live) kupitia YouTube ya NECTA (Necta Online) kuanzia saa 7:00 mchana.
By Dr Lukwaro
 
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania kesho tarehe 07/01/2024 atatangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili mwaka 2023. Matangazo hayo yatarushwa mubashara (live) kupitia YouTube ya NECTA (Necta Online) kuanzia saa 7:00 mchana.
By Dr Lukwaro
Oya kweli au ?? Dr lukwaro ndio nani ?
 

Attachments

  • Screenshot_20240107-145322~2.jpg
    Screenshot_20240107-145322~2.jpg
    49.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom