Leo tarehe 7 bado hamna kituTUSUBIRIE alhamis au ijumaa tarehe 4.1.2024 au 5.1.2024
Oya kweli au ?? Dr lukwaro ndio nani ?Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania kesho tarehe 07/01/2024 atatangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili mwaka 2023. Matangazo hayo yatarushwa mubashara (live) kupitia YouTube ya NECTA (Necta Online) kuanzia saa 7:00 mchana.
By Dr Lukwaro
Leo tarehe 7 bado hamna kitu
Hivi hio leo saa saba walishatangaza??
Sijafuatilia...Hivi hio leo saa saba walishatangaza??
Wacha tusubirie tuoneSijafuatilia...