Matiti nje

Matiti nje

chakula cha mtoto kinywaji cha baba...ni shidaaaaaaa.ila mda mwengine tumezid wadada utakuta mtu kaboost ziwa mpaka limepitiliza top aliyovaa..anafika mbele za watu ndo anaaza kuhangaika kuvuta top kwa juu..jamani hebu inafika wakati tujitambue na kuelewa thamani ya hiyo kitu..hivi atujiuliz kwa nin wanaume hawakupewa..dahh..jamani kuboost ni hatari kwa afya zetu.saratani ya matiti ipo na inauwa..fashen zisishushe heshima zetu mbele ya jamii.na kujitafutia matatizo...
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    12.5 KB · Views: 449
Halafu unakuta chini kavaa kimini kimemmbana halafu laini mpaka kinaonyesha pindo la pichu, kwakweli wanakera sana. Tena wengine ni wake za watu, huwa najiuliza hivi waumezao huwa wanawaruhusu watoke majumbani katika hali ile?

Ukioa Utajua Kumdhibiti Mkeo
 
Mabomu ya kulipulia wanaume....

Mie napenda nikimuona alieyaachia....namkodoleaaa kodo kifuani.
 
Ila tabia za kutegana na kuvaa mavaz yanayoleta hisia za kingono ndy yanayoleta huu ugonjwa wa upungufu wa nguvu za kiume kwa asilimia kubwa

Sabb oficn sekretari ananitega njian ndy usiseme sa kila mda unakita mgegedo unaish maisha ya mashaka mashaka

Jamn wadada punguzen hata kama ni utandawaz naw days mmezidisha
 
Tatizo umehusisha matiti na genye, ona wenzio na wala hawana tabu.
Kwa hawa hakuna shida,maana unaona mazingira yao yanawaruhusu,huenda kule kwao hakuna nguo
na ikapelekea kuhalarisha baadhi ya sehemu kaonekana angalia walivyofunika sehemu nyeti kwa majani ya miti.Tatizo liko huku mjini ambakpo watu wana nguo lkn wanapenda kuonyesha maungo yao na guest houses zipo karibu.Hapo tuwaeleweje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom