Rapunzel
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,079
- 601
Nitapenda unioneshe..
Ukiona utazoea..
Nitapenda unioneshe..
Hii hapa![]()
Weka picha mkuu.
cc.Acapulco
Lina boostiwa na nini?
Umebanana na mie kama brazia yangu, hebu niache nipumue...
Wanaenda na wakati
refer my signature
Hivi haka kamtindo ka kuacha maziwa watu wayachungulie mnavyofanya wakina dada mna maana gani? Yaani utakuta mtu hadi wa ofisini matiti kayaacha nje au wengine wamevaa nguo zenye V yaani maziwa kila mtu anayaona. Halafu myebana mpaka mnatupa majaribu kufanya kazi na nyie. Acheni bwana matiti yako kamuonyeshe mumeo huko alaaaaaah
Umebanana na mie kama brazia yangu, hebu niache nipumue...
Ukiona utazoea..