Matiti nje

Matiti nje

Alafu cha ajabu, ukimkuta demu anamnyonyesha mtoto wake wala hupati msisimuko...sana sana unabaki kumuangalia mtoto anayenyonya....na akimuacha mtoto huko kwake alafu uyaone yakiwa kwenye hiyo V akiinama......ni kama unataka kumwambia...hebu inama nione tena.

Kuna muvi moja...chalii kamtembelea mwenzake...mama wa mwenzake akainama na nguo yake ya V, madogo wote wawili wakaona matiti...basi chalii akamwambia dogo mwenzake mwenye mama.....DUH.....siamini kama umewahi kufaudu kunyonya yale matiti...
 
Upo serious haupendi kuona manyonyo?

Evelyn tunapenda sana kuona manyonyo lakini sio barabarani, au ofisini ila tuwe faragha kwani consequences zake huwa mr, Qualifier anaamka kwa sababu yeye hajui kuwa yuko sehemu gani yeye akiona huhisi ni halali yake. so anahitaji kutumia fursa iliyopo mbele yake.
 
Alafu cha ajabu, ukimkuta demu anamnyonyesha mtoto wake wala hupati msisimuko...sana sana unabaki kumuangalia mtoto anayenyonya....na akimuacha mtoto huko kwake alafu uyaone yakiwa kwenye hiyo V akiinama......ni kama unataka kumwambia...hebu inama nione tena.

Kuna muvi moja...chalii kamtembelea mwenzake...mama wa mwenzake akainama na nguo yake ya V, madogo wote wawili wakaona matiti...basi chalii akamwambia dogo mwenzake mwenye mama.....DUH.....siamini kama umewahi kufaudu kunyonya yale matiti...

Naomba jina la movie please
 
Hivi haka kamtindo ka kuacha maziwa watu wayachungulie mnavyofanya wakina dada mna maana gani? Yaani utakuta mtu hadi wa ofisini matiti kayaacha nje au wengine wamevaa nguo zenye V yaani maziwa kila mtu anayaona. Halafu myebana mpaka mnatupa majaribu kufanya kazi na nyie. Acheni bwana matiti yako kamuonyeshe mumeo huko alaaaaaah

baadhi ya akina dada! sio general
 
Alafu cha ajabu, ukimkuta demu anamnyonyesha mtoto wake wala hupati msisimuko...sana sana unabaki kumuangalia mtoto anayenyonya....na akimuacha mtoto huko kwake alafu uyaone yakiwa kwenye hiyo V akiinama......ni kama unataka kumwambia...hebu inama nione tena.

Kuna muvi moja...chalii kamtembelea mwenzake...mama wa mwenzake akainama na nguo yake ya V, madogo wote wawili wakaona matiti...basi chalii akamwambia dogo mwenzake mwenye mama.....DUH.....siamini kama umewahi kufaudu kunyonya yale matiti...

Hapo ndiyo uone Mungu alivyokuwa genius kuna somo kubwa sana behind this na haiishii hapo tu mkuu. Mwacheni Mungu aitwe Mungu!
 
Weka picha mkuu.
cc.Acapulco

Hii hapa
avatar85441_3.gif
 
wanapoyabana ili yatune damu inakuwa haina mzunguko mzuri hivyo kuna hatari ya kupata matatizo ya matiti na uvimbe ambao unaweza kuja kuwa ni cancer
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom