Matiti nje

Matiti nje

Tian hiyo avatar yako mbona kama nayo inafanana na kinachozungumziwa?lkn kwa upande wa chin wa wahusika

My Avatar Reads As Below.
 

Attachments

  • 1398967368695.jpg
    1398967368695.jpg
    32.2 KB · Views: 289
Na sie wenye mafurushi yetu hata tuvae kaba koo ni shida tu..
 
kama kweli mnapenda kutuonyesha si mfanye hivi kama wenzetu?
Kwa wanaojua,ni kwa nini nyonyo ya mdada wa kushoto ni tofauti na wa kulia au mmojawapo anaumwa? Utofauti nauona kwenye chuchu,Msaada please.
 
refer my signature

Signature yako imenidhihirishia majibu ya dada mmoja aliyeniambia kuwa mantiki ya kuonyesha nyonyo zilizobana ni kutambulisha mbanano au mnato halisi wa maumbile ya mvaaji.
naoanisha na signature yako"..ni vigumu kujua funguo kama hujui aina ya kufuri..."kweli jf ni shule tosha.
 
Signature yako imenidhihirishia majibu ya dada mmoja aliyeniambia kuwa mantiki ya kuonyesha nyonyo zilizobana ni kutambulisha mbanano au mnato halisi wa maumbile ya mvaaji.
naoanisha na signature yako"..ni vigumu kujua funguo kama hujui aina ya kufuri..."kweli jf ni shule tosha.

si kweli masterkey haitaji kujua lolote
 
Alafu cha ajabu, ukimkuta demu anamnyonyesha mtoto wake wala hupati msisimuko...sana sana unabaki kumuangalia mtoto anayenyonya....na akimuacha mtoto huko kwake alafu uyaone yakiwa kwenye hiyo V akiinama......ni kama unataka kumwambia...hebu inama nione tena.

Kuna muvi moja...chalii kamtembelea mwenzake...mama wa mwenzake akainama na nguo yake ya V, madogo wote wawili wakaona matiti...basi chalii akamwambia dogo mwenzake mwenye mama.....DUH.....siamini kama umewahi kufaudu kunyonya yale matiti...

Hivi kumbe we ni mwanaume loh
 
Kama wanataka kujiachia Waanzishe titi day.....

Siku hio live bila sidiria topless.
 
mithali yasema nlifanya agano na macho yangu naweza mtizamaje msichana.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom