Matiti nje

Matiti nje

Mm kuna mdada chuoni anavaa vibaya sana ,Jana kavaa jasketi juu ya magoti,Leo suruali imebana k.. Yote nje nje hallafu ameumbika Du ni noma
 
Leo nilimuona mdada mmoja pale Manyanya Kinondoni,kavaa kinguo chepesi kama cha kulalia,hajavaa sidiria,mvua ilikuwa inanyesha basi vichuchu vimechomoza kama ncha ya mishale ya Wahadzabe!Duhhh wadada tuoneeni huruma jamani!Wadada jamaani vaeni basi hata sidiria lohhh!

Kijana wangu wakishajua zimesimama wanadai wana aleji.na sidiria kabisa...
 
Kila jambo litapita tuu. Msiogope, haya mavazi nayo yatapita. Hata angelitoa nje, namwona tu ka box la biskuti dukani. Miye sili biskuti hivyo haliwezi nitia hamu. Lile ni chuu la mtoto miye lanihusu nini? Sikumbuki tena kunyonya, huenda wanawatamanisha watoto lakini ni ujinga tu. Mbona ya ng'ombe yako nje na ndama hanyonyi ila kwa wakati wake?
Acheni kuwasumbua, kila mtu anacho kinacho msumbuaga, wengine "vibration" unaonaje akikutangulia mbele yako
 
Kila jambo litapita tuu. Msiogope, haya mavazi nayo yatapita. Hata angelitoa nje, namwona tu ka box la biskuti dukani. Miye sili biskuti hivyo haliwezi nitia hamu. Lile ni chuu la mtoto miye lanihusu nini? Sikumbuki tena kunyonya, huenda wanawatamanisha watoto lakini ni ujinga tu. Mbona ya ng'ombe yako nje na ndama hanyonyi ila kwa wakati wake?
Acheni kuwasumbua, kila mtu anacho kinacho msumbuaga, wengine "vibration" unaonaje akikutangulia mbele yako
Hilo nalo ni neno, umesomeka mkuu
 
sisi wengine kuna mada zingine mpaka picha ndio uwa tunaelewa vizuri, tafadhali naomba unisaidie kwa hilo., maana kuna tofauti kati ya matiti, maziwa, na manyonyo.
 
Hatare jamani sio kwamba mm sipendi ila ninavyoyaona halafu nikiwa nafanya kazi fulani ya maana lazima concentration itapungua jamani maana wengine mpaka wanakugusisha nayo hapo sasa ni balaaaaaaaaa
 
Alafu sijui mimi nina bahati mbaya?Kitu kingine tena leo pale Morocco!Sasa itabidi niwe najifungia ndani sitokii!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom