Matibabu India, Bomu jingine linalotegwa

Wacha tu ndugu yangu. Mambo ya hii nchi ukiyafikiria sana unaweza kujikuta unaomba Mungu alshabab waje warushe maguruneti Magogoni!
 
mimi nashindwa kufahamu hata maralia inaweza mpandisha mtu ndege, hadi sasa sijajua ni ugonjwa gani zaidi ya maralia unaompeleka huyu mbunge india. Nadhani ikiwa ndivyo ninavyofikiri basi maralia itatuua wengi
 
  • Thanks
Reactions: tz1
Wana-mind kwenda kupata pilipili, lakini wawe macho mifisadi wan mtandao, waweza kurudi kama baba wa taifa!
 
Hii inamaanisha madaktari wa hapa Tanzania uwezo wao ni mdogo.
Kwa hili tunajidhalilisha. Na akitokea mwendawazimu akasema kuna hisa na Hospitali ya Apollo inayotaka kujenga Hospitali kubwa ya Moyo nchini katika eneo la UDSM anaweza kuaminiwa na Watanzania wengi.
 
mimi nashindwa kufahamu hata maralia inaweza mpandisha mtu ndege, hadi sasa sijajua ni ugonjwa gani zaidi ya maralia unaompeleka huyu mbunge india. Nadhani ikiwa ndivyo ninavyofikiri basi maralia itatuua wengi
Hapo ndiyo tuna anza kuelewa kuwa,viongozi na familia zao wakiumwa hata mafua huwa wanaenda India.
Halafu tunaambiwa serikali haina hela.
 
Wanasiasa wa Tanzania wamejazana bara hindi wanatafuta nini? Au babu wa loliondo kahamia India? nini! Au ndio historia inajirudia ya akina vasco da gama kutafuta pilipili manga bara hindi.[/QU Kuna machinjio ya wazalendo.
 
Wanajamvi nalileta hili tulijadili na ikiwezekana tusaidiane, Kama mnavyojua ni kawaida sana hawa wenye nchi wakiugua kidogo faster wanapelekwa India kwa matibabu zaidi, Kina mwakyembe, Zito na wengine wengiiiiiii unaowajua hii nimeitoa tu kama mfano. Ni kweli hawa ni viongozi wetu lakini je na watanzania wengine tena wenye matatizo ambayo hayatibiki hapa mbona wanachwa? Namkumbuka Mh. Kafulila alipoongea bungeni Mama Nagu alimbeza, Naomba niwape mfano; Na Ndugu yangu ambaye kitaaluma ni tabibu na alikuwa akiongeza ujuzi pale muhimbili miaka kama minne iliyopita akapata ajali ya kuanguka ghorofani, infact aliangukia jiwe lililopiga spinal cord na kumfanya kupooza toka kiunoni mpaka miguuni, bahati mbaya zaidi siku anapata ajali madaktari pale muhimbili walikuwa kwenye mgomo kkwahiyo alikuja kufanyiwa upasuaji after 3 days, hakupona mpaka leo yuko kwenye wheel chair. Huyu ni kijana, tena jembe haswaa, na mpaka sasa anaingia na wheel chair yake na anatibu watu na watu wanamkubali saaana, huyu bwana ana kila dalili kuwa akipata matibabu ya kiwango husika kuna uwezo mkubwa sana wa kuja kutembea na kulijenga taifa letu kwa kuboresha afya za watu. Amepeleka maombi ya kwenda India pale wizara ya afya lakini mpaka leo kimyaaa. Lakini hawa wenye nchi yao ni seconds tu mtu yuko India. Hivi hasira za watu wanaokosa tiba muafaka mnaionaje? ni kwanini wengine iwe rahisi hivi na wengine iwe balaa? Inabid uwe mwanasiasa ili upate kila kitu duniani smoothly, kwa yeyote mwenye password ya kuaccess njia za kumsaisia huyu bwana kwa kweli mchango wake utakuwa wa thamani sana.
 
India Pesa yako tu,kwanza ilikua South Africa sasa tangu visa iwe hakuna wanaona soo watu wataonekana na siri zitavuja wameamia kwa wahindi,wana hamu yakula dengu na chauroo wakishalizua balaa watatafuta kwengine,mpaka sasa siri zao hazija vuja...
 
Wanasiasa wa Tanzania wamejazana bara hindi wanatafuta nini? Au babu wa loliondo kahamia India? nini! Au ndio historia inajirudia ya akina vasco da gama kutafuta pilipili manga bara hindi.

Mkuu inahuzunisha sana hata mgonjwa wa malaria anapelekwa huko. Mwishowe hata mtu akipata jipu basi atapelekwa nje ya nchi kwa matibabu. Yaani hela ya radar na kulipa Dowans tunayo lakini hela ya kugharamia ujenzi wa hizo medical centers hatuna!
 
Mkuu inahuzunisha sana hata mgonjwa wa malaria anapelekwa huko. Mwishowe hata mtu akipata jipu basi atapelekwa nje ya nchi kwa matibabu. Yaani hela ya radar na kulipa Dowans tunayo lakini hela ya kugharamia ujenzi wa hizo medical centers hatuna!

Ukiona hivyo hana Malaria
 
Sirikali yetu kwa sababu ya udhalimu wao inabidi kila wafanyalo ni siri juu ya mgongo wa (usalama wa taifa). Hii itatupeleka pabaya.
 
Wanajamvi nalileta hili tulijadili na ikiwezekana tusaidiane, Kama mnavyojua ni kawaida sana hawa wenye nchi wakiugua kidogo faster wanapelekwa India kwa matibabu zaidi, Kina mwakyembe, Zito na wengine wengiiiiiii unaowajua hii nimeitoa tu kama mfano. Ni kweli hawa ni viongozi wetu lakini je na watanzania wengine tena wenye matatizo ambayo hayatibiki hapa mbona wanachwa? Namkumbuka Mh. Kafulila alipoongea bungeni Mama Nagu alimbeza, Naomba niwape mfano; Na Ndugu yangu ambaye kitaaluma ni tabibu na alikuwa akiongeza ujuzi pale muhimbili miaka kama minne iliyopita akapata ajali ya kuanguka ghorofani, infact aliangukia jiwe lililopiga spinal cord na kumfanya kupooza toka kiunoni mpaka miguuni, bahati mbaya zaidi siku anapata ajali madaktari pale muhimbili walikuwa kwenye mgomo kkwahiyo alikuja kufanyiwa upasuaji after 3 days, hakupona mpaka leo yuko kwenye wheel chair. Huyu ni kijana, tena jembe haswaa, na mpaka sasa anaingia na wheel chair yake na anatibu watu na watu wanamkubali saaana, huyu bwana ana kila dalili kuwa akipata matibabu ya kiwango husika kuna uwezo mkubwa sana wa kuja kutembea na kulijenga taifa letu kwa kuboresha afya za watu. Amepeleka maombi ya kwenda India pale wizara ya afya lakini mpaka leo kimyaaa. Lakini hawa wenye nchi yao ni seconds tu mtu yuko India. Hivi hasira za watu wanaokosa tiba muafaka mnaionaje? ni kwanini wengine iwe rahisi hivi na wengine iwe balaa? Inabid uwe mwanasiasa ili upate kila kitu duniani smoothly, kwa yeyote mwenye password ya kuaccess njia za kumsaisia huyu bwana kwa kweli mchango wake utakuwa wa thamani sana.

Pole sana. I can feel what you are feeling!
Mie najiuliza hivi hizo safari za matibabu ya India huwa budgeted for? Kama wana budget kwa ajili ya matibabu ya India kwa nini wasi budget kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa hospitali zetu za rufaa? Au wizara huwa inapata wapi pesa za matibabu hayo kama hawana budget yake? Ni vigezo gani hutumika kumgharamia mtu matibabu India? Yaani mtu unaweza kujiuliza maswali mengi mpaka akili ikuruke!
 
[h=1]Hii kitu sijui imeishia wapi?? hao Apollo mbona hapa Bongo wapo??

Apollo Hospitals to render specialist health services in Tanzania[/h]

May 28, 2011, 12.25pm IST
Tags:

DAR ES SALAAM (TANZANIA): Apollo Hospitals, one of India's leading chain of super speciality and referral hospitals, will render specialist health services in Tanzania following the signing of a Memorandum of Understanding ( MoU) between India and Tanzania.
Three agreements were signed between India and Tanzania on Friday, among which the first one was a joint venture to increase trade and small-scale industries between the two nations.
The second was to start a chain of Indian hospitals especially known for heart treatments in association with the Ministry of Health and Social Welfare of Tanzania.

The third agreement was an agreement for the avoidance of double taxation and the prevention of fiscal evasion with respect to taxes on income.
Apollo Hospitals Chairman Dr. C Prathap Reddy said that the prime motive of the group's venture in the African nation would be to spread awareness and render preventive health care.
"I am glad that we are at Tanzania, but this is not the beginning or the end of it. There are a lot of expansions going on. We are into 360 degrees of health care. This is why I have said that we have excelled in clinical excellence. We have got the service excellence, technological excellence, but using technology we are trying to build 360 degree of health in bringing awareness, bringing prevention, we have done world's largest preventive check ups apart (from) treating 20 million people," Dr. Reddy said.
He further mentioned the concentration of their hospitals in Tanzania would be to provide world-class health facilities to the patients.
"This is going to be a brand new land, virgin land on which we are going to build a hospital which will suit our design to deliver tertiary and cardiac care hospital for people who do not have to go to other place majority of times," Dr. Reddy said.

[COLOR=#000000 !important]Ads by Google

Apollo Hospital set up in Tanzania - YouTube






[/COLOR]
pixel.gif
 
Back
Top Bottom