Matibabu India, Bomu jingine linalotegwa

Huwa najiuliza maswali mengi na ninakosa majibu,kwa nini viongozi wetu hukimbilia kutibiwa india??je huduma walizonazo hatuwezi kuziboresha tukatibiana kwetu??na kwa nini ni india pekee??je unafuu wa gharama za matibabu?na kwanini wasikimbilie nchi za Ulaya na America au Asia Pacific(korea ya kusini na Japan)
Kama hawa viongozi wanayomamlaKa ya kuamua nini kifanyike katika Taifa letu na nini sikifanyike katika Taifa letu kwa nini wasiamue kuboresha huduma za afya wakijua hipo siku nao watahitaji hiyo huduma badala ya kujirimbikizia mali nyingi na kutufanyia ufisadi katika Taifa leo?..

HAKIKA KWA MUNGU HAKUNA UPENDELEO MASKINI NA TAJIRI WOTE WATAKUFA TOFAUTI NI MDA NA WAKATI.
GLORY TO GOD

Mkuu thead yako nimeipenda na najua viongozi wa ccm huwa wanapita humu na wanaona maoni ya wananchi wao, na siku zote nasema ccm ni sikio lakufa ambalo halisikii dawa, katika hili iliyobaki ni wananchi kufanya uamuzi thabiti toka ngazi za juu mpaka za chini kuakikisha ccm tumewang'oa kwote nahisi mizizi hii ya kifisadi itakwisha na kama haitakwisha itapungua kwa asilimia kubwa sana
 
Huwa najiuliza maswali mengi na ninakosa majibu,kwa nini viongozi wetu hukimbilia kutibiwa india??je huduma walizonazo hatuwezi kuziboresha tukatibiana kwetu??na kwa nini ni india pekee??je unafuu wa gharama za matibabu?na kwanini wasikimbilie nchi za Ulaya na America au Asia Pacific(korea ya kusini na Japan)
Kama hawa viongozi wanayomamlaKa ya kuamua nini kifanyike katika Taifa letu na nini sikifanyike katika Taifa letu kwa nini wasiamue kuboresha huduma za afya wakijua hipo siku nao watahitaji hiyo huduma badala ya kujirimbikizia mali nyingi na kutufanyia ufisadi katika Taifa leo?..

HAKIKA KWA MUNGU HAKUNA UPENDELEO MASKINI NA TAJIRI WOTE WATAKUFA TOFAUTI NI MDA NA WAKATI.
GLORY TO GOD


India ni cheap kuliko Nairobi hospital, kuliko hospitali nzuri za South Africa. ukipima ubora na gharama ulaya, US,Asia nyingine ni ghali zaidi. cha kujiuliza ni kwamba tungeboresha hospitali ya rufaa muhimbili ili wakuu watibiwe pale na siyo kupelekwa nje ya nchi.
 
Huwa najiuliza maswali mengi na ninakosa majibu,kwa nini viongozi wetu hukimbilia kutibiwa india??je huduma walizonazo hatuwezi kuziboresha tukatibiana kwetu??na kwa nini ni india pekee??je unafuu wa gharama za matibabu?na kwanini wasikimbilie nchi za Ulaya na America au Asia Pacific(korea ya kusini na Japan)
Kama hawa viongozi wanayomamlaKa ya kuamua nini kifanyike katika Taifa letu na nini sikifanyike katika Taifa letu kwa nini wasiamue kuboresha huduma za afya wakijua hipo siku nao watahitaji hiyo huduma badala ya kujirimbikizia mali nyingi na kutufanyia ufisadi katika Taifa leo?..

HAKIKA KWA MUNGU HAKUNA UPENDELEO MASKINI NA TAJIRI WOTE WATAKUFA TOFAUTI NI MDA NA WAKATI.
GLORY TO GOD
Ameeen!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom