mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,180
- 3,458
katika mkutano wa wana ccm wanaogombe ubunge same magharibi leo,ilipofka zamu ya mathayo alizomewa akatoa kauli ifuatayo,HATA MSIPONICHAGUA WAKE ZENU WATANIPA KURA..Kulewa madaraka n shida...
Hivi Lowassa anaweza kumsaidia mtia nia yeyote kupitia CCM kweli?anamtegemea sana Lowasa sijui kwa nini
Hahahaaa kwa hali iliyopo hivi sasa tutegemee matusi ya nguoni kutoka kwa watia nia wa CCM maana kupigana kumeshakua jambo la kawaida.
Hivi Lowassa anaweza kumsaidia mtia nia yeyote kupitia CCM kweli?
Hahahaaa kwa hali iliyopo hivi sasa tutegemee matusi ya nguoni kutoka kwa watia nia wa CCM maana kupigana kumeshakua jambo la kawaida.
Ndio maana wako nyuma kimaendeleo hadi sasa.Watu wa same na mwanga wanatuangusha sana mkoa wa kilimanjaro. Wao ni CCM tu sijui wamekunywa maji ya bendera... Wapare badikeni
Kabisa mkuu, anayetaka huruma ya Lowassa basi na aisalimishe shingo yake Chadema.Hawezi, mwenyewe anatakiwa apate wabunge wengi zaidi ili aweze kuunda serikali, sasa akichagua ccm itakula kwake!
katika mkutano wa wana ccm wanaogombe ubunge same magharibi leo,ilipofka zamu ya mathayo alizomewa akatoa kauli ifuatayo,HATA MSIPONICHAGUA WAKE ZENU WATANIPA KURA..Kulewa madaraka n shida...