Usituongelee kipare kama mwehu.
Hakuna la maana CCM wamefanya huko same.
Maendeleo yameletwa na wananchi na sio ccm.
Hahahaaaaa atakua mwehu basi, ningekua mimi ningelianzisha.Na hapo utakuta mke wa huyo Mathayo kaipokea kauli hiyo kwa furaha isiyo kifani
katika mkutano wa wana ccm wanaogombe ubunge same magharibi leo,ilipofka zamu ya mathayo alizomewa akatoa kauli ifuatayo,HATA MSIPONICHAGUA WAKE ZENU WATANIPA KURA..Kulewa madaraka n shida...
Mathayo David Ulimwaga Ugali Wangu. Leo Na Mimi Nimemwaga Mboga!
Usituongelee kipare kama mwehu.
Hakuna la maana CCM wamefanya huko same.
Maendeleo yameletwa na wananchi na sio ccm.
Ndio maana wako nyuma kimaendeleo hadi sasa.
Maji kwao bado ni tatizo la kudumu.
Hahahaaaaa huu uchokozi sasa mkuu...Mzee Msuya alishahama same kwani?
Watu wa same ni Wajinga sana, kuing'angania ccm kama mama yao
Ana Dharau Sana Huyo Ana Kampuni Yake Pale Sinza Lego Inaitwa Ramani Investment Sinza Lego Ndo Kuna Yard Ya Mitambo Yake, Ofisi Kuu Iko Victoria Kijitonyama Grinaker Building Second Floor Utaona Bango Rangi Ya Gold Ramani Investment 'tunakodisha Mitambo' Anakata Wafanyakazi Nssf Kila Mwezi Hapeleki Hata Mia! Mimi Nilikuwa Mfanyakaz Pale Miaka Miwili Miez Kumi. Nssf Nimehesabiwa Mkononi Cash, Ukiacha Kazi Mwenyewe Ndo Anakuzulumu Kabisa! Kama Alivyo Mzulumu Mwacha Operator Wa Excavator Aliefanya Kazi Kwake Miaka Minne. SSRA Hivi Mko Wapi? Hamumuoni Huyu Mwizi David Mathayo Mwenye Kampuni Ya Ramani Investment Anavyodhulumu Employees Wake?! Mkewake Anaitwa Pamela Shoo Ni Mzuri! Ndie Huwa Ofisini Mara Nyingi, Mtoto Wao Mkubwa Anaitwa Lina Ni Kifaa! Mwingine Mdogo Amemfanya Zezeta Ni Taahira Ila Anaish Nae Safari Za Kumpeleka India Huwa Haziishi Ili Watupumbaze, Matayo Sasa Hivi Ameshahamia Nyumba Yk Ya Masaki Takukuru & SSRA Take Action! Namba Ya Matayo Ni 075222222* Ya Mwisho Digits 0-5 www.ramaniequipments.com
Ndio maana alisema atapata kura kwa wanawake na hoja za huyo mdada huenda yupo sahihi kabisa
Mkuu heshima itawale huwezi toa hoja mpaka utukane? Hii sio porojo ninaongea kwa evidence na nimekuwa hapo kwa kazi flani vijijini. Hutaki kunya tikiti
Naweza kubet kwa hili. Same almost nzima ni ngome ya ccm. Usidanganywe na pale hedaru na same mjini. Milima ndio same yenyewe na ndio huko husemi kitu kuhusu ccm.
Hivi Lowassa anaweza kumsaidia mtia nia yeyote kupitia CCM kweli?
Hahahaaa kwa hali iliyopo hivi sasa tutegemee matusi ya nguoni kutoka kwa watia nia wa CCM maana kupigana kumeshakua jambo la kawaida.
Hahahaaa kwa hali iliyopo hivi sasa tutegemee matusi ya nguoni kutoka kwa watia nia wa CCM maana kupigana kumeshakua jambo la kawaida.