Km mm43 🤔
Step one
Step oneNipatie njia uliyotumia kupata jibu tofauti na 29
Upo sahihi sana mkuu, sikuona kama hilo gari la eqn ya 3 halina mtu😁. Nikalibeba kama lilivyo (6).Step one
(K+m)+(k+m)+(k+m)=21
3(k+m)=21
(k+m)=21÷3=7
k+m=7
Step two
(g+m)+(g+m)+(k+m)=19
(g+m)+(g+m)+7=19
2(g+m)=19-7
2(g+m)=12
(g+m)=12÷2=6
g+m=6
Step three hapa sasa tutafanikiwa kujua (k) kofia ni ni ngapi?
k+(m+g)+(k+m)=15
k+6+7=15
k+13=15
(k)ofia=15-13
(KOFIA NI =2)
Uchawi upo hapo kwenye kujua kofia tu ukishajua kofia ni ngapi hesabu imeisha ...sasa tunarudi kwenye jibu la step one
k+m=7
tumeshajua k ni 2
2+m=7
m=7-2
(Mtu bila ya kofia ni 5)
Sasa tuna rudi step two ili kujua gari (g) bila mtu ndani ni ngapi...step two tulipata jibu
m+g=6
na tumesha jua mtu ni 5 hivyo
5+g=6
g=6-5=1
Gari (g)=1
HATUA YA MWISHO
m+(k+k)×g
5+(2+2)×1=
5+4×1=
5+4=9
Kwanini 2 mkuu?
Nipeni formula ya circumference ya point A hadi B
✅C= Pie r + r
First profit 100 - 800 = 200
Kweli ni 12. Nilikurupuka tuAsante mkuu.
Pia, nilipata 12 ila Chief amekuja na jibu la 2.
Nilikurupuka tu hapo.Kwanini 2 mkuu?
Profit = Sales - Cost of Good SoldFirst profit 100 - 800 = 200
Second profit 1300 - 110 = 1190
Total profit 200+1190 = 1390.
Nilishemsha hapo kwenye hii statement "I bought it again for 1100". Nimetumia 110 badala ya 1100. Hivyo uko sawa, jibu ni 400.Second scenario: 1300 -1000 = 200
Ndugu yetu alianza tabia ya kuweka mikasi kwa wenzie wakikosea, na wewe ukaaanza kumwekea yeye.Kwa nini mkuu!